bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Hehheeeheeee GeeDuh! wewe ni ligi nyengine....huh! Si mchezo..
Umenipa changamoto hapa.....sikubali hata kidogo. lol
Utajibebele...
Hehheeeheeee GeeDuh! wewe ni ligi nyengine....huh! Si mchezo..
Umenipa changamoto hapa.....sikubali hata kidogo. lol
Hehheeeheeee Gee
Utajibebele...
....mapenzi! aaah, mapenzi haswa ni kujitia kengeza makusudi!
nawaonea huruma sana wanaoanza kupenda....
...maneno yoooote hayo ya jpinduzi ni kwasababu tu yeye mwenyewe kwa makusudi na akili yake
timamu ameamua kufikiria na kujiaminisha hivyo japo kwa uhalisia si kweli hata kidogo.
pheewww,....hebu ni myuti mbu mie...yangu yananishinda!
Mbu acha kuweka mchanga kitumbua cha mwenzako.....:lol:....mapenzi! aaah, mapenzi haswa ni kujitia kengeza makusudi!
nawaonea huruma sana wanaoanza kupenda....
...maneno yoooote hayo ya jpinduzi ni kwasababu tu yeye mwenyewe kwa makusudi na akili yake
timamu ameamua kufikiria na kujiaminisha hivyo japo kwa uhalisia si kweli hata kidogo.
pheewww,....hebu ni myuti mbu mie...yangu yananishinda!
Unaongeza nyingine ilikuwa lazima akutane na kibomu cha hatari njiani mwenyewe huyo analainika bila hata kutumia grisi...:eyebrows:Ha ha ha .....asipopindua ndo inakuwaje vile?
Mbu
si kweli hata kidogo umejauje?
Hebu lete ufundi kwanza
lol,....hebu cheki hii website;
Love Letter Sample
au,
I Miss You :: Love Letters Dating Email Relationships
au,
nk nk nk....
sasa mtu kama huyu akikutana na binti anayechipukia, asiyejua
maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti....si atanasa?
jamani wazazi wenzangu, Actions Speak Louder than Words!
tuwaongoze binti zetu wasirubuniwe jamani eee!
Lakini najipa moyo, yangu ilikuwa ni original work kisha mtindo wa kisasa wa "kufoka foka"..............si haba
Umenikumbusha rafki yangu mmoja nae alikuwa na theme song "A whole new world"
Nimeenda harusini kwake, bibi na bwana wanaingia ukumbini, mbele kasimama violinist live akatupigia....it was too cute :]
lol,....hebu cheki hii website;
Love Letter Sample
au,
I Miss You :: Love Letters Dating Email Relationships
au,
nk nk nk....
sasa mtu kama huyu akikutana na binti anayechipukia, asiyejua
maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti....si atanasa?
jamani wazazi wenzangu, Actions Speak Louder than Words!
tuwaongoze binti zetu wasirubuniwe jamani eee!
Haha haha Mbu nimecheka sana kwenye hiyo Love Letter. Lakini ni sawa tu na mtu kudedicate wimbo ambao upo maarufu tu hadi kuwa na theme song fulani. LOL
Tatizo lako Mbu helewi kuwa hata upige parapanda kiasi gani, mwanamke haelewi actions bila words. Kwa hiyo labda uwaambie vijana wa actions nao mara moja moja wawe wanatupa na mistari
hahahahah, ati mpewe na mistari...lol....
haya bana, mimi ni old skool....
nikishamaliza mistari ya primary, secondary stage ni vitendo
nikiitikia na kibwagizo..."i love you too!...nakupenda pia....!"
kumbe jamaa wa hii thread kachukua tu lisample letter dah mbu umetoa wapi hii?
wewe natangaza tena kwa sauti hapa hatupendi kucopy na kupaste hapa ni great thinkers sikubali ndo maana kakimbia....ohoooo, myuti basi bana...akini report kwa mods nitakula "ban" mwenzio!
wewe natangaza tena kwa sauti hapa hatupendi kucopy na kupaste hapa ni great thinkers sikubali ndo maana kakimbia
Shurti uwe mwanamke ndo uelewe hii kitu.
Akutendee kubwa utafurahi na kushukuru, lakini akikushushia mistari utafikiri wewe ni Princess wa Bwagamoyo!
Unaona tofauti hapo! Havilingani hata kidogo.
...lol....
sasa umenijibu kwanini kwenye utetezi, wanawake wengi hujitetea
"it is not what you think, it is just a fling!"....
...halafu nishasoma mahala, ati kuna wanawake (hata kama wameolewa) wasipotongozwa hujiskia unyonge...
daaahh, ngoja nimtafute Ali Kiba nipate lyrics mpya 'nishtue' kwa soulmate...
Yaani ukiishasema hivyo nakumbuka Msoga....lolShurti uwe mwanamke ndo uelewe hii kitu.
Akutendee kubwa utafurahi na kushukuru, lakini akikushushia mistari utafikiri wewe ni Princess wa Bwagamoyo!
Unaona tofauti hapo! Havilingani hata kidogo.
Yaani ukiishasema hivyo nakumbuka Msoga....lol