Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
nipo hapa pacha
nina bisibisi tatu,beleshi,panga
kisu cha kukunja na spana namba nane tayari kwa kazi!!
mwambie ajiandae tukamshughulikie
nipo hapa pacha
nina bisibisi tatu,beleshi,panga
kisu cha kukunja na spana namba nane tayari kwa kazi!!
dismynder1 vyote hivyo atakufa na mshtuko
haya naomba uvue nguo zote, uje na kyupi yako tu, tuanze kazi
kufa hafi ila cha moto atakiona
Arabela bora useme wewe lady doctor & dismynder1 wanataka niua 2
usijali utatoka salama hao ni proffesional
yupo humuhumu kaka
basi sio wewe kaah...... Nilifikiri yule kaka anayeniletea magazeti kila asubuhi, duniani wawili wawili jamani mmefanana sana!
Lady doctor huyo jamaa muuza magazeti anae fanana na mimi huwa mna ishu gani ingine tofauti na gazeti?
dismynder1 vyote hivyo atakufa na mshtuko
Taipu hii labda kwa MSWATI, Bongo wa Chuya<br />By Arabela<br />
what type of a wife
<br />
Anaejua kujistiri<br />
Awe na akili timamu<br />
Kabila lolote 2<br />
Awe mvumilivu kwenye shida na raha<br />
Awe na mapenzi ya kweli