My Open Letter to Eric Shigongo

wamekuwa wakali sasa kwakua maslahi yao yameguswa. hawa ndugu ukiona wapo kimya ujue wanapata kile wanachokitaka, lakini wakishaanza kelele ujue kuna mahali umewagusa. na wameguswa haswa.

Ipo wazi kwamba ile faida waliyoizoea kuipata, haipo tena, na watatafuta kila namna ili irejee, sasa kama na sisi tunataka tuendelee kutumika, basi tuungane nao, na tuendelee kuwa maskini milele. kwa maana hakuna siku watakubali tuendelee, au tujitambue. hakuna.
 
Pointless kabisa,acheni kutumia hata ndege zao,dawa zao,nguo zao,silaha zao,magari yao,pesa zao kama dola,Euro na mjitegemee kila kitu 100%.
 
Hao wote waliouawa na kupotezwa hakuna tume yoyote huru ilioundwa kuchunguza huo uvunjifu wa haki za binaadamu hakuna mahala EU imesema itawapata bali wanachotaka ni haki itendeke tume iundwe ichunguze na waliohusika wakamatwe wafikishwe kwenye vyombo vya sheria EU ndo ilichosema hicho ila sababu wewe hauna shule yoyote ile pamoja na Shigongo akili zenu zinawashawishi kwamba ni sababu Raisi anafanya kazi vizuri sio kosa lenu ni kosa la kukosa fursa ya kupata elimu bora ya kuwawezesha kupambanua na kuchanganua mambo
 
Adam Hitler alipokuwa anafanya unyama kwa Wajerumani, dunia haikukaa kimya kwa hoja ya kijinga eti ya sovereignty! Mataifa yote yaliungana kumpiga vita mshenzi huyo ambaye wako binadamu aliowahi kudai kwamba hawana haki ya kuishi.

Idi Amin alipowafanyia unyama Waganda, Tanzania haikukaa kimya kwa sababu ya kijinga ya sovereignty! Rais wetu Mwalimu Julius Kambarage aliviagiza Vikosi vyetu vya Ulinzi na Usalama kumpiga hadi akaikimbia nchi ya Uganda.

Hapa kwetu wananchi wasio na hatia wanatekwa, wanateswa na wanauliwa huku kiongozi wetu mkuu akiwa kimya. Kama tunakuwa waoga au tutakosa ujasiri wa kumkabili, tusishangae dunia ikiingilia kati bila kujali kinachoitwa eti sovereignty!

Binadamu aliyeonja nyama ya mtu haachi na akiwamaliza asiokubaliana nao, ataanza kuwatafuna marafiki, wafuasi hadi ndugu zake wa kuzaliwa. Dunia haiwezi kufumbia macho unyama dhidi ya binadamu wenzao bila ya kujali eti sovereignty! Sovereignty, my foot!
 
Yani mkuu kuna watu wanaongea vitu vya kipuuzi then wanajiita wasomi mara wanajitambua nk.Hivi Hawa wazungu wanaowapenda watanzania hawakuona mauaji ya Mwangosi, Kuteswa kwa kibanda, Ulimboka, lipumba kupigwa kipigo cha mbwa koko,Mauaji Arusha 2011 nk.Yani leo mzungu ndio kagundua Tanzania kuna ukiukwaji wa Haki za binadamu na anataka kumsaidia mtanzania. Ni mpumbavu tu atakwambia wazungu wamechukizwa na uvunjifu wa democracy,WENYE AKILI WANAJUA MASLAI YAO YAMEBANWA na njia ileile waliyotumia Libya na mataifa mengine wanataka kumtoa madarakan Yule wanayemuona kikwazo wa MASLAI YAO. Wanajua fika Afrika kuna watu wanaakili za kizombie kama mtoa mada so tukisema tunakuja kuwasaidia kuleta democracy tayar tunawanasa.
 
Ubarikiwe!!!
 
Nawewe inatakiwa ujiulize haya yanayotendeka kwa magufuli je hayakuwahi kutendeka?Je hao wazungu washawah itisha mkutano kutoa tamko?Je Tanzania inauvunjifu wa democracy kuliko Congo,Uganda au Rwanda?Je huko aametoa matamko?Ukijibu haya nafikiri hoja za hao wazungu hata ziwe valid vipi bado ni UPUMBAVU kwa kuangalia nini agenda yao ya msingi.Hakuna mzungu wa kuja mumpigania mtu mweusi na ikatokea hivo mmmmmmh OGOPA SANA.
 
Usisahau kuwa kila mmoja wetu ana haki na kuwa na maoni yake. vile vile ufahamu kuwa siyo lazima maoni yetu kuhusu jambo yafanane. Mnapozungumzia demokrasia, maoni yana sehemu yake [tena kubwa tu]
Democracy kwao ni kutoa maoni sawa na wao.Ukitoa maoni kinyume na matakwa yao tayar ujiandae matusi. Waimba democracy ndio vinara wa kuvunja democracy
 
Democracy kwao ni kutoa maoni sawa na wao.Ukitoa maoni kinyume na matakwa yao tayar ujiandae matusi. Waimba democracy ndio vinara wa kuvunja democracy
Ingekuwa hivyo basi mijadala yetu kwenye jamvi ingepigwa marufuku pamoja na magazeti yangepigwa marufuku.
 
Asante mkuu umenena!!!!!
 
Good analysis!!!
 
Cognitive dissonance is ur big problem
You're so daft,that you support a tyrant whose hands bears blood, and you're not an intellectual to grasp the truth that prevails over the country, that's why I asked you if you're either a married woman who gets her needs from her hubby without learning how her hubby toils to get her some food or you're simply a stupid boy who relies on his brother in law and lives at his home, and he strives not for his future
Pathetic Magufuli fan .
 
Kama mnatafuta fair mercy kwa kuangalia majirani unyama wao ndo na nyie mnatenda,basi this time imekula kwenu
 
Mtu anajiiita mcha Mungu halafu anapiga pesa za wafumaniwa!karibu maji mwanangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…