My last confession CHADEMA imekosa road map

Huna akili ...msaliti wewe...kwa nini msiangaike kujenga vyama vyenu hivyo? si mtuache na chadema yetu!!
 
Na wajinga ndio waliwao..,wajinga wataendelea kudumu katika ujinga wao.

Aiseee ngoja mimi nibaki kuwa mjinga lakini kamwe Ccm haitaingia akilini mwangu. Mimi sio mchumia tumbo Please. Nyie wachumia tumbo ndio mtahangaika sana na Chadema. Hata hivyo nilitaka nikushauri kuwa tafuta shughuli itakayokuingizia kipato ujitegemeee otherwise utauza utu wako ili upate mkate wako wa kila siku. Ni ushauri tu
 

wewe huna umuhimu wa kujua mazuri ya ccm...fahamu majinga majinga ya chadema
 

Hata tukitumia username na avatar ambazo ni fake bado haibadilishi uhalisia wa kilicho mioyoni mwetu..nauona moyo wako ukiwa unasikitika na kuumizwa na kuporomoka kwa Chama ila kwa vile ni kibarua ambacho umekabidhiwa kuhakikisha unamsemea bwana mkubwa nawe umekuja hapa kukisema usichokiamini kwa ID fake.

Amka kijana.,siku za mwisho za utawala wa kilofa zimeisha.,huu ni wakati mpya wenye falsafa mpya. Vijana lazima tuamke na tulipiganie hili taifa kila mmoja pale alipo na kwa uwezo, busara na hekima zake. Acha kutumika kwa vipande vichache vya thamani.
 
Sikusoma mleta post ninani?
kumbe??

nimeishia njiani nimekimbilia kucomment nilichokicomment.
 
Wewe gamba unawezaje kumwambia Mbowe kuwa CHADEMA kwake ni njia ya kutokea kimaisha? Kabla CHADEMA haijawa tayari Mbowe alikuwa na pesa ya kulisha familia kama si ukoo mzima wa akina Mwampamba. Hebu jaribu kutumia akili kidogo tu ulinganishe maisha ya familia yenu na maisha ya Mbowe uone hiyo tofauti.
 
Ningeshauri ungeanza kuufanyia kazi ushauri huu wewe binafsi..,hii posho ya buku 5 za kukesha JF sio dili kabisa na utazeeka ukitumikia watu wasio na fadhila. Jitambue kisha kamata fursa uchangamke, acha kukesha JF doing nonsese...!!!
 
Naamini umeshatukanwa vya kutosha huko juu ewe mwampamba. Nachofanya mi ni kukupiga singe ya paji ukafilie mbali
 
Familia yangu haiwezi kulishwa na fedha haramu za Danguro, kuwa na heshima.
 
nimekutana na wanachadema kadhaa hapa udsm wanaponda sana hizi siasa za kiuanaharakati zisizo na ushawishi
Kimsingi mimi nawafahamu wanachadema wengi sana, kwani nilikuwa miongoni mwao, na wote ninaowajua wanashaka na hawafurahishwi namna ya chama hicho kinavyoendeshwa hivi sasa. Wananung'unika na wanasema pembeni kwa sababu hawana fursa na wanaogopa kuyasema haya kwenye vikao husika na hata kwenye halaiki ya wanachadema. Kimegeuka chama kinachonyima na kuminya demokrasia kwa wafuasi wake kuliko chama chochote kuwahi kutokea duniani.

Ni chama cha hovyo ambacho wanachuo wamekistukia, wataalamu wanaki-dis na hata walalahoi wenzangu mtaani wamestuka kuwa kuna wapiga dili wachache wanaokitumia chama kutengeneza maisha yao huku mamilioni ya watu wanachama wakifa njaa na wengine wakifa kwenye maandamano.
 
Hata yule professor Muongo badala ya kuangalia hoja aliangalia performance ya muuliza swali eg. Ole sendeka etc. Wewe pamoja na wenye mawazo mgando kama wewe na wasaliti wenzio wanafikiri degree ndiyo inayoendesha nchi. Muulize huyo mwenyekiti wa chama ulikohamia alikuwaje wakati anasukumwa na tawi la TANU Udsm!! hadi akakimbilia jeshini nako akafeli!! muulize vizuri jinsi anavyoendesha nchi bila kujua chanzo cha umaskini wa anaowaongoza!!
A traitor is always a traitor!!!!
 
Akili za kuambiwa changanya na zako.,ukidanganywa nawe ukaenda kutoa ushuhuda mbele ya watu juu ya uongo ulioambiwa watu wanakusema wewe kuwa ndio muongo. Linda heshima yako, jiepushe na ujinga.
 
Akili za kuambiwa changanya na zako.,ukidanganywa nawe ukaenda kutoa ushuhuda mbele ya watu juu ya uongo ulioambiwa watu wanakusema wewe kuwa ndio muongo. Linda heshima yako, jiepushe na ujinga.
Nirudie kwa herufi kubwa: YOU ARE A TRAITOR!!! and you can not be trusted by thinking humans
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…