My last confession CHADEMA imekosa road map

My last confession CHADEMA imekosa road map

Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!

Sasa hapo UMECONFESS nini?
 
Kwa akili yako ilivyo kubwa na nyingi hiyo nukuu ndefu namna hiyo huwezi kuikariri kichwani kama unavyotaka tukuamini humu.
You are on your own , zitto hayupo nawe tena.
Ila pia safari yake chadema imeisha.
 
Ulianza vema ktk kuandika ,ghafla ulipomaliza kunukuu kauli ya Zitto ukairuhusu akili yako iongozwe na uccmism,hapo ukaanza kutusi Mbowe na.kushindwa kuandika kiuchambuzi na kisomi ila kinazinazi.

Ilibidi useme kuhusu nini hasa Chadema wafanye kama mbadala wa kupinga bmk na si kutoa matusi. Matusi ni ya mtu asiye na hoja na aliwkosa shabaha ya nini hasa aseme.Hivyo, huenda unamtusi Mbowe na kusahau Kuwa yeye ni bora kuliko wewe, yaani ana uwezo wa kujibu hoja bila kutoa tusi, lakini wewe uliemzidi Elimu huna uwezo huo!

Umeifunua tupu yako we Mtela
 
HE! hayo ndio ulyoambiwa wewe huko nyuma mkiwa wawili tu ...au yalizungumzwa kwenye mkutano fulani?

Hamna lingine isipokuwa mawazo ta kijinga Kama yako. Watu wanaweza kuzungumza bila ta kupandana. Ama kweli wewe maana chadema haswa
 
mtela msaliti mwampamba anza kuitetea ccm we kila siku unaiwaza chadema?
 
Sijawahi kuwa karibu na mtu huyu anayeitwa Mtela wala kufahamu historia yake. Wanaomfahamu, je aliwahi kupatwa na kwashiokor wakati wa utoto au magonjwa ya akili? Maana moja ya athari ya magonjwa ya akili ni kutokujua mahali ulipo. Huyu Mtela anajua kuwa sasa hivi hayupo CHADEMA? Mwenye akili siku zote hutumia kujenga kile alicho nacho au pale alipo.

Ni uwendawazimu ukiwa kwako ukajifanya una akili ya kumjenga adui yako. Ni mjinga pekee yake atakayekusikiliza au kukuamini.
 
Mtela sidhani kama anamzidi elimu Mbowe. Labda anamzidi Mbowe kwa miaka ya kukaa darasani. Lakini Mtela kwa yale anayoyafanya, aheri hata wazee wetu akina Kawawa darasa la nane walionekana kuelemika kuliko hawa wakaririshwaji.

Ulianza vema ktk kuandika ,ghafla ulipomaliza kunukuu kauli ya Zitto ukairuhusu akili yako iongozwe na uccmism,hapo ukaanza kutusi Mbowe na.kushindwa kuandika kiuchambuzi na kisomi ila kinazinazi.

Ilibidi useme kuhusu nini hasa Chadema wafanye kama mbadala wa kupinga bmk na si kutoa matusi. Matusi ni ya mtu asiye na hoja na aliwkosa shabaha ya nini hasa aseme.Hivyo, huenda unamtusi Mbowe na kusahau Kuwa yeye ni bora kuliko wewe, yaani ana uwezo wa kujibu hoja bila kutoa tusi, lakini wewe uliemzidi Elimu huna uwezo huo!

Umeifunua tupu yako we Mtela
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!
Kama suala ni elimu basi Tanzania tungekuwa tunatengeneza ndege zetu wenyewe achilia mbali kulilia British Airways kuleta ndege zao huku. SHAME OO YOU MWAMPAMBA. Vipi kihiyo mwenzako Juliana Shonza yuko wapi au Mwigulu bado anamtumia kama nyumba ndogo huko aliko? Look huyo Zitto mwenyewe anakiri kuwa nyinyi wajingawajinga mmempotosha ss hana pa kutokea ni aibu tu! Bora mm nisiye na jina kwenye jamii hata nikisema nn hakina impact yoyote kuliko ww tunayekujua ni mnafiki fika. Endelea kuuza nyago huko uliko kuliko kupiga mayoni kwenye hakuna.
 
Ukweli huu utaendelea kudumu na kuwaumiza, huu ni uhalisia wa yanayoendelea Chadema, ni kukosa muelekeo na kushindwa kufanikiwa kwa mkakati wa kuanzishwa Kwa chama hicho.
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!

msalimie Zitto sijui utamkonvinsi nani kw ahilo lilopo kwa sasa ni kuiondoa ccm kwa ustaarabu au vipi peleka ujinga huo huko
 
Hivi Mtela jina lako ukiwa CHADEMA kule kwenu unaweza kulilinganisha na sasa ulivyo CCM kwa kule kwenu? Leo hii hata ukigombea Uenyekiti wa Kitongoji hutapata. CHADEMA ni habari ya Tanzania bhana.
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!

Kama bado unaipenda cdm,basi rudi omba radhi kwa viongozi na wanachama wote utafikiriwa maana naona ccm wamekutosa.pooole mwampamba msaliti.
 
Kuna mtu nimemuuliza leo vipi umeomba likizo ofisini ili ujiunge maandamano?...anajiumauma....poor cdm maana mnategemea wanaoandamana wawe wale wapga debe na mama ntilie nyie.muwe jf mkijisifia saa ya ukomboz....manina zenu mtaandamana online...tumewastukia

Inawezekana wewe unayeongea hayamambo hata huna uhakika utakula nini kesho
 
Aiseee ngoja mimi nibaki kuwa mjinga lakini kamwe Ccm haitaingia akilini mwangu. Mimi sio mchumia tumbo Please. Nyie wachumia tumbo ndio mtahangaika sana na Chadema. Hata hivyo nilitaka nikushauri kuwa tafuta shughuli itakayokuingizia kipato ujitegemeee otherwise utauza utu wako ili upate mkate wako wa kila siku. Ni ushauri tu

Kaka umempa za uso huyo chumia tumbo
 
Hivi Mtela jina lako ukiwa CHADEMA kule kwenu unaweza kulilinganisha na sasa ulivyo CCM kwa kule kwenu? Leo hii hata ukigombea Uenyekiti wa Kitongoji hutapata. CHADEMA ni habari ya Tanzania bhana.

Mtela sasa anashinda kwenye vibaraza vya wizara ya fedha
 
Kwa statement yako hapo juu basi MAMA YAKO NDIYO ATAKUWA MJINGA NAMBARI WAHEDI. Maana nime check fact zangu na kukuta kwamba mama yako unayemuita mjinga anayeliwa na CDM ni Diwani kupitia CDM.

Wazungu wanasema charity begins at home. Kwanini usimuelimishe Mama yake aache ujinga wa "KULIWA NA CDM"

Mkuu naona baada ya uzi huu kuhusu mzazi wake kama vile akili yake ikarudi kidogo maana kaingia mitini haonekani katika uzi alioanzisha. Lakini kama alivyouita uzi wake "My last confession" usije kuta kesha jitia kitanzi. Kama ni hivyo naomba niwe wa kwanza kusema " RIP Mtela"
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!

Mkuu usipoangalia vizuri,utakuwa mweu,hata kama ni njaa isikutawale kiasi hicho.Kama kweli uliongea na Zitto na ukaona mantiki ya alichokueleza leo hii mungekuwa chama kimoja tena cha upinzani mkiendeleza mapambano.Lakini leo wewe ni mchumia tumbo kwa magamba huku Zitto akijiapiza kuwa hawezi kwenda CCM.

Hata ufanyeje,kwa mtu mwenye uchungu na nchi hii CCM haiwezi kuiwa mbadala wa chama chochote hata TADEA,achilia mbali CDM.Kwa wewe kaa ugange njaa tu.

TUACHANE NA HAYO KISHUA ANASEMAJE?
 
Hamna lingine isipokuwa mawazo ta kijinga Kama yako. Watu wanaweza kuzungumza bila ta kupandana. Ama kweli wewe maana chadema haswa

Akili yako fupi wewe, na ulikuwa unatafuta sifa isiyo yako...Unaposema "aliniambia"...Una maana ipi? Kwa nini u quote maneno aliyosema mtu mkutanoni iwe kama mlikuwa na mazungumzo yenu PRIVATE? Eti Alikuambia? What nonsense!
 
Back
Top Bottom