My last confession CHADEMA imekosa road map

My last confession CHADEMA imekosa road map

Huna lolote mbinu zenu zote za kuvuruga chaguzi zimeshindwa unabaki kulialia.
 
Hata tukitumia username na avatar ambazo ni fake bado haibadilishi uhalisia wa kilicho mioyoni mwetu..nauona moyo wako ukiwa unasikitika na kuumizwa na kuporomoka kwa Chama ila kwa vile ni kibarua ambacho umekabidhiwa kuhakikisha unamsemea bwana mkubwa nawe umekuja hapa kukisema usichokiamini kwa ID fake.

Amka kijana.,siku za mwisho za utawala wa kilofa zimeisha.,huu ni wakati mpya wenye falsafa mpya. Vijana lazima tuamke na tulipiganie hili taifa kila mmoja pale alipo na kwa uwezo, busara na hekima zake. Acha kutumika kwa vipande vichache vya thamani.

> Woh unafanya usichojua hata kidogo usiwe mfuasi wa upepo tumia elimu yako unayojidai nayo ikusaidie kufanya analysis kidogo acha kuniogopa kijana. Mimi siyo mwanachama wa CHADEMA usipeperushwe kama makapi wala sijatumwa ni utashi wangu ninapoona wewe mwenye elimu kubwa umefanya nini na elimu yako hiyo. Narudia tena wewe ni miongoni mwa wasomi ambao hamna faida kwa kizazi hiki umepoteza dira wewe kama kijana.
 
Kimsingi mimi nawafahamu wanachadema wengi sana, kwani nilikuwa miongoni mwao, na wote ninaowajua wanashaka na hawafurahishwi namna ya chama hicho kinavyoendeshwa hivi sasa. Wananung'unika na wanasema pembeni kwa sababu hawana fursa na wanaogopa kuyasema haya kwenye vikao husika na hata kwenye halaiki ya wanachadema. Kimegeuka chama kinachonyima na kuminya demokrasia kwa wafuasi wake kuliko chama chochote kuwahi kutokea duniani.

Ni chama cha hovyo ambacho wanachuo wamekistukia, wataalamu wanaki-dis na hata walalahoi wenzangu mtaani wamestuka kuwa kuna wapiga dili wachache wanaokitumia chama kutengeneza maisha yao huku mamilioni ya watu wanachama wakifa njaa na wengine wakifa kwenye maandamano.

Sasa hao nao ni mazuzu kweli kama hakiwapi fursa ya kutoa yao ya moyoni wanasubir nini CHADEMA si watoke wakafanye yao kwan chama ni kimoja nchi hii vko vyama zaid ya kumi hapa Tz lakn kama vile haitosh kila mwananch wa umri wa utu uzima anaweza kuanzisha chama chake na kuweka hzo itikad zake katka chama chake ilimradi havunji sheria. Ukiona mtu ananung'unika tu alafu hatak kutoka jua huyo ni mnafiki na yuko humo kwa maslah yake ndo maana anavumilia yote.
Au n propaganda zako mkuu kwasababu haiingii akilin et mtu analalamika chama kibov alafu bdo yumo humo, anasubir nn?
 
Familia yangu haiwezi kulishwa na fedha haramu za Danguro, kuwa na heshima.
Wewe at the first place ulienda ualimu kwa sababu ulifeli form six. Mbona babako hiyo hela safi hajapata kaishiwa kununuliwa na magamba kama wewe tu?
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!
Mimi nauliza...hivi eti ni kweli umehamia CCM?
 
akili za kuambiwa changanya na zako.,ukidanganywa nawe ukaenda kutoa ushuhuda mbele ya watu juu ya uongo ulioambiwa watu wanakusema wewe kuwa ndio muongo. Linda heshima yako, jiepushe na ujinga.

zito aliwapotosha sana ww na yule demu wako...unajua imefika mahali hamna hoja kabisa mko kama vikatuni
..sijui hata kama huko ccm mnathamani tena . Poor mtela my home boy.
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!

Mbona unawapa promo hao walishajifia siku wanatangaza maandamano hakuna anayeanda hata viongozi wao pia
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!
Mtella, hivi na wewe umefika form six na ukafaulu kabisa? ....ama kweli nchi hii kuna vitu vingi vinahitaji uchunguzi.
 
Mtela Mwampamba nani alikwambia elimu ya darasa ni kigezo cha kuwa kiongozi mzuri, Kamanda ni bora zaidi ya Maprofesa kibao, unajua kwanini baada ya nyinyi kupata sana elimu ya darasani wazungu wamegeuza TZ shamba la bibi??? unajua nani asema hii iitwe jiografia, hii Bailojia na mengineyo??? Ukizani umesoma na kupata division one kila sehemu kama mimi eti ndo kiongozi mzuri basi elimu yako inakufaa NECTA tu. Uongozi tunajua asilimia kubwa kibaji ndo maana tulikuwa tunateuliwa shuleni/vyuoni kuwa viongozi bila ya kuwa na PhD zozote, na kabla hatujajimbua vizuri lakni wakuu wa shule waliona vipaji. USIPOTESHE ETI FORM six hawezi kuongoza, hata mama yako hana form six je hajawaongoza kwa nafasi yake hapo kwenu hadi leo unabwabwaja???
 
Bavicha nyie ndio engine ya chama,msikatishwe tamaa na wajinga walioshindwa kama akina m.m
 
"......Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa......"

Hivi nyie CCM mna shida gani? kila mtu kwenu Dr.? lini kijana kapata hiyo PhD, Kikwete na degree za kupewa nae Dr., degree za kupewa kisheria huwezi kutumia at official capacity, this include signing documents under the prefix Dr.
Afterall ukiona mtu anapenda kutumia prefix Dr. Prof. blalala ujue hana imani na uwezo wake, ndo maana anatanguliza hizo Dr. ..... Prof kudraw attention.
 

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!

Kwa statement yako hapo juu basi MAMA YAKO NDIYO ATAKUWA MJINGA NAMBARI WAHEDI. Maana nime check fact zangu na kukuta kwamba mama yako unayemuita mjinga anayeliwa na CDM ni Diwani kupitia CDM.

Wazungu wanasema charity begins at home. Kwanini usimuelimishe Mama yake aache ujinga wa "KULIWA NA CDM"
 
Katika kumbukumbu zangu wakati najiunga na Chadema, kwa nguvu za ushawishi na hoja kutoka kwa kaka yangu, mwanasiasa makini na mwenye maono thabiti ya kesho yake na kesho ya watanzania walio wengi, kijana wa kanda ya magharibi mwa nchi hii Dr. Zuberi Zitto Ruyagwa, aliniambia kuwa

"..tunajenga chama hiki ili kiwe chama bora kitakacholeta maendeleo ya kweli kwa watanzania, ndugu zetu wamechoshwa na umasikini uliokithiri na hawana namna nyingine yeyote isipokuwa matumaini yao yapo juu yenu nyie vizazi vyao ili kuwakomboa kutoka katika umasikini wao, na njia pekee ni kwa kushiriki na kupata nguvu ya maamuzi na utawala.."

Akaendelea kwa kusema kuwa;

"..Chama chetu (CHADEMA) bado ni chama kichanga na hakina sura ya chama cha siasa, bado tu-wanaharakati, tunao wajibu kama vijana ndani ya chama hiki kuleta mabadiliko kwanza ndani ya Chama chetu kukifanya kuwa chama bora zaidi kitakacholeta matumaini mapya mioyoni mwa watanzania kisha tupate kuungwa mkono zaidi na tuweze kushinda chaguzi na kufanya maamuzi ya kimamlaka kama chama tawala, lakini hatutofika huko bila kuwa na SHABAHA, pamoja na mpango kazi wa kutimiza na kutekeleza shabaha yetu hiyo, sisi wana-chadema hatuna budi tukubali hali yetu ya ndani ya chama na hata nje, halafu tufanye bidii kuibadili hali hiyo ilingane na shabaha yetu.."

Mazungumzo haya tuliyafanya mwaka 2006, takribani miaka miaka tisa (9) iliyopita, nasikitika nikisema kuwa bado chadema ya leo haina shabaha wala muelekeo wa kutimiza shabaha hiyo, nasema na kwa ushahidi uliyo bayana kuwa chadema ya leo ni more worse kuliko ya miaka tisa iliyopita, wakati huo vijana walikuwa na matumaini at least ya kuleta mageuzi chanya ndani ya Chama chenyewe ili kiwe bora na imara kuweza kukitoa CCM madarakani, lakini leo hata hayo MATUMAINI kwa vijana ndani ya Chama yamekwishaondoka achilia mbali matumaini ya kuingia magogoni.

Lakini haya ndio matokeo ya kuruhusu akili ndogo kuongoza akili kubwa, ni jambo lisilowezekana kuwa form six failure yaani mtu aliyepata ZERO form six ajione mwenye maana na atake kudharau mawazo ya wengine wote na afuate mawazo yake pekee, kisha mawazo hayo yalete mafanikio na yazae matunda..HAIWEZEKANI.

Hakuna namna kuwa MAANDAMANO iwe ndio hoja ya siku zote, iwe ndio mfumo na shabaha ya kupima mafanikio ya Chama, yaani siku niliyokuwa nasikiliza mkutano mkuu wa Chama ilikuwa ni kama vile mtu anatania, anasema moja ya mafanikio ya Chama chao ni kuendesha maandamano, tena maandamano yaliyopoteza maisha ya watanzania, eti hayo ndio mafanikio, kama sio akili ndogo ni nini..?

Wakati mwingine ninapokumbuka dhamira, ari na kujitoa kwa dhati kutoka katika mioyo ya wazalendo wa kweli wa nchi hii katika kujaribu kukijenga chama hicho zilipozimwa na manyang'au na wapiga dili wa mjini waliokimbilia siasa kama njia ya "nitoke vipi" ni jambo linalokera na kutia uchungu.

Baada ya kumbukumbu hiyo fupi ya maisha yangu ndani ya Chadema, niseme kuwa nawatakiwa vijana wa Bavicha maandamano yatakayowaachia uchungu wasiousahau katika maisha yao.,kwani wajinga ndio waliwao...!!!

ushadharaulika muda mrefu
 
Ungekuja kwanza vwawa na mlowo kwenye uzinduzi wa ACT upande jukwaani kuwaambia wananchi hayo!!kijana sasa ivi kwenu unapaona kama ugonjwa wa Ebola!!!pole sana kwa kuwa mkimbizi!!!
 
Back
Top Bottom