My God help me nimpende nani

My God help me nimpende nani

Mapenzi acha tu yaitwe mapenz,,,usiombe ukapenda labda kama umetaman

kipindi nipo dogo dogo (ulikua utoto tu) nlikuaga na watu wengi wengi so mmoja akiniacha hata sifikirii but now nimejikomit
 
kipindi nipo dogo dogo (ulikua utoto tu) nlikuaga na watu wengi wengi so mmoja akiniacha hata sifikirii but now nimejikomit naona upside down...so nakaribia kurudia tabia ileeeeee

hahaaaaaaahaaa duh
 
Kuwa makini, mapenzi ukiyaendekeza sana watakufanya daraja. Matapeli ni wengi. Soma kwanza, mengine yatafuata baadaye wakati ukifika kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
 
pia kuna yule wa ktz aliiimba nimepende nani kama sijakosea jina lake

if am not mistaken ndo huyo huyo voice wonder ...nimpende nani mweenzenu naliaaa nifanye nini najifikiriaaa nilompenda mwanzo amenikimbiaa kisa masikini si ndo kanambiaa nitampa nini aatachoridhia( mengine nimesahau)
 
alikuwa amechoka kusoma huyo

Hahaha moko mkaka alifeli mdada akafaulu necta wote walifaulu mdada wani MZUMBE mkaka twuu UDSM but all are graduates now na kila mmoja na life yake ila mkaka keshaoa + mtoto juu
 
Kuwa makini, mapenzi ukiyaendekeza sana watakufanya daraja. Matapeli ni wengi. Soma kwanza, mengine yatafuata baadaye wakati ukifika kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.

Asante sana mamaa kwa ushaur wako ubarikiwe
 
Na sio utoe mzigo ovyo ovyo kisa upo desperate. Mwanamke anapaswa kujua hadhi yake na kuitunza.

Never swez kufanya hvyo,,coz najiheshimu na uzur niko sekta ya afya so najua adhari za kufanyafanya ovyoovyo magonjwa ni mengi xana including STIS and HIV
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom