Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,223
thanks sana my bro
sory am KE...
thanks sana my bro
thanks xana
Nimpende nani nimpende eee eeeh,nimpende nani nimpendee aaah
Nikuwaga mpenzi...ananizingua.........
Naogopa sana vijana wa sasa kwenye mapenzi wasije wakanitenda............
Si unajua wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndo balaa...wengi wajanja watoto wa mjini wamejawa utapeli sanaaa...
...unaonekana bado mdogo sana..tulia..soma....
sory am KE...
Nipende mimi
Ndo walewale tu,,,,ukiwa mkweli unadanganywa duuuh
Mapenzi ni ishu si kwa wanaosoma hata biashara na kazi zinaweza zisiende
kumbe bado unasoma.... maliza nkuweke mke wa pili
oooh sorry sister
anti katika uhusiano usiwe negative....kuna watu wanapenda na wanaotamani,yawezekana wengi wamekutamani.hujabahatika kupata anae kupenda.nainawezekana anae kupenda kwa dhati we humuitaji wala humjali.kwa sababu flani flani.usiangalie sura
jaman who is de best man for me????? Nimechoka kudanganywa daaah,,,eeh mungu nionyeshe mwanaume mwema..hadi kusoma nashdwa kisa mapenz daah mungu nisaidie,,,
sihitaji kuwa second wife for someone,,,,namtaka wa kwangu
Acha kila kitu kiende automatic punguza vigezo atatokea tu.
sema tu una hamu ya gegedo
umebanwa na nyege si ndio??
Subir watakuja tu hii ndi jf.... Naamin mpaka hapa umeshapokea pm kadhaa sasa ww roburobu uone
Mapenzi ni ishu si kwa wanaosoma hata biashara na kazi zinaweza zisiende