tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,064
I suggest you first work on your grammar and syntax!
I suggest you first work on your grammar and syntax!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]If girlfriend yours isn't not proud of u..What us to do?
Ndo wewe nini jamaa anaye kulalamikia?we mwenyewe umekosea, bora hata yeye.
hii lungha ya malkia waachieni wenyewe jamani
DUH HII JF NOMA.MUONEE HURUMA
Hahahah duh mwenzako ana shida webukakandamiza ya lugha hahaa dah...mbavubmie af usipanic mbona relaxed tu....nadhani kama ana moyo mwepese atalia...badala ya kupewa ushauri wa alichopost ye kapewa ya lugha....ehehahahaNimuonee huruma kivipi tena?
Kwani kumpa mtu ushauri limekuwa jambo baya?
Manake naona kuna vimtu flani flani vimekereka kwelikweli.
Vyovyote vile, kama watu tunataka kujifunza ni lazima tukosee lakini la muhimu zaidi ni lazima tukubali na tupokee constructive criticism.
USA baby [emoji631] [emoji631] [emoji631]
Hahahah duh mwenzako ana shida webukakandamiza ya lugha hahaa dah...mbavubmie af usipanic mbona relaxed tu....nadhani kama ana moyo mwepese atalia...badala ya kupewa ushauri wa alichopost ye kapewa ya lugha....ehehahaha
Ha ha ha ulitoka salama kweli bila yeye tuuh kukung'ang'ania?Mkuu yule.mutuuu bhana
Hahahah kweli nimeona nikichopost du...anyway atypo tu hiyo...touch nazo hizi dahAisee!
Naona hata kuandika mgogoro!
Hata ningekuwa mimi nisingekuwa proud aiseee hadi nimeona aibu.My girlfriend she is not proudly to be wit me,how can i do...,
Your advice is more important than what you think....
Thanks....
Ha ha ha haUsihofu arifu, hii lugha kwanza ililetwa na meli pili inamsumbua mpaka makufuli wetu!! wacha kabisa hehehee!!!
Go back to xkul learn then u wl get da scornful in its place. I had a guy jus like u n I opt to push hm away as soon as possible coz hs mind wz da same as how he used to text me using dt queen language. Kw mvunjiko huu wa maneno mwez ungekuw mwaka kwngu.My girlfriend she is not proudly to be wit me,how can i do...,
Your advice is more important than what you think....
Thanks....