feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,595
- 4,205
Mi ndomana hii lugha nimewaachia wenyewe.Unaandika au kuongea unajua upo vizuri kumbe umevuruga mpaka basiwe mwenyewe umekosea, bora hata yeye.
hii lungha ya malkia waachieni wenyewe jamani
Mi ndomana hii lugha nimewaachia wenyewe.Unaandika au kuongea unajua upo vizuri kumbe umevuruga mpaka basiwe mwenyewe umekosea, bora hata yeye.
hii lungha ya malkia waachieni wenyewe jamani
Go on google and search for (sic) before you think you know so much.She isn't proudly of him au she isn't proud of him? Which is correct, Nyani please come here!
Nimemuita Nyani , yeye nadhani amesoma lugha!Go on google and search for (sic) before you think you know so much.
Nini nyani baba, hata ukiita sokwe ni chaguzi yako tu.Nimemuita Nyani , yeye nadhani amesoma lugha!
I you to do of nothing.If girlfriend yours isn't not proud of u..What us to do?
Ninyi wakuu mnavituko! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]I you to do of nothing.
Sio vituko ndugu yangu, ndio nasie twajifunza mdogo mdogo, kiinglish hakina adabu.Ninyi wakuu mnavituko! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nanyamaza. Hakika uzi huu umenipa tumbuizo la roho mkuu!Sio vituko ndugu yangu, ndio nasie twajifunza mdogo mdogo, kiinglish hakina adabu.
Mkuu labda unaongea Kiinglish ka hiki kwake au mbele za watu kwa sauti....My girlfriend she is not proudly to be wit me,how can i do...,
Your advice is more important than what you think....
Thanks....
Unaanza matusi sasa! Stupid!Nini nyani baba hata ukiita sokwe ni chaguzi yako tu.
Hautakiwi kuacha mama, kila lugha unaweza kujifunza, na kukosea ndio kujua. Mie siachi ng'oo maana RRONDO ashanirekebisha hadi siku hizi kachoka.Mi ndomana hii lugha nimewaachia wenyewe.Unaandika au kuongea unajua upo vizuri kumbe umevuruga mpaka basi
Unataka kuniambia hujui Kiswahili? Ungeandika basi kwa kabila lako wapo humu wangetutafsiriaMy girlfriend she is not proudly to be wit me,how can i do...,
Your advice is more important than what you think....
Thanks....
Sasa atajifunzaje na njia za kujifunza lugha ni kuizungumza au kuandika?Unataka kuniambia hujui Kiswahili? Ungeandika basi kwa kabila lako wapo humu wangetutafsiria
AhahahahahahaaSasa atajifunzaje na njia za kujifunza lugha ni kuizungumza au kuandika?
Kiinglish nacho hakinaga adabu, kinagomaga kikiona watu.
Mmmmmh!!hiyo ni kawaida kwa wanawake sema wakwako ameanza mapema ilitakiwa aanze wakati umeshamvalisha pete
Ahahahahahahaa tusi liko wapi hapo?Unaanza matusi sasa! Stupid!