My crazy theory…..

Ni maelekezo kutoka msoga mission ya kwnza target ni lissu
Mission ya pili target alikuwa Magu

Can't you see
Can you?
 
Una maanisha wanamtandao walishindwa kung'oa mchicha wakafanikiwa kung'oa mbuyu?..,what a nasty theory?
 
Hotuba ya Magufuli saa 6 mchana ina '' implication'' kwa tukio la 7 mchana huo. Key words '' mtu, msaliti, risasi''
Pili, ikiwa Magufuli hakuhusika alitakiwa ajitenge na uovu ule, ironically akawa cheerleader hata kwenye matibabu
Tatu, watu waliokwenda kumuona Lissu Nairobi baadhi walikutana na kadhia, nasikia hata Maza alinuniwa.
Nne, hakuna maelezo yule kijana wake mpendwa DAB alikuwa Dodoma anafanya nini, yeye hajanusha
Tano, wahusika akina slow slow wangeshavalia njuga hasa kipindi hiki wakiwa na mawaa na wana mtandao
Sita, Polisi walioficha Kamera walikuwa chini ya utawala wa Magufuli
Saba. Magufuli alikuwa na nguvu za kuagiza uchunguzi wa haraka na wa kina ikiwa hakujua nani alifanya
Nane, Bunge lililazimisha kuziba nafasi ya Tundu Lissu makusudi kabisa, Magufuli alikuwa na uwezo wa kuzuia
Tisa, baada ya uchaguzi wa 2020 vyombo vya magufuli vilimfuatilia Lissu tena akikimbilia ubalozi wa EU.


JokaKuu
 
No, I think you're onto something...

The assumption is like the likely...

Hawa wanaoitwa - Washauri, washauri, washauri wa Rais, kama huchanganyi na zako, ni rahisi sana kukuingiza kwenye mess na kutoka humo ikawa ngumu...

Aliingizwa mkenge na baadae wakamuua...

Naona Bi Samia Suluhu Hassan naye kwa ujinga na ulimbukeni wake, anatembelea kwenye mtego huohuo...
 
Kama yote hayo ni kweli na Magufuli ameshakufa na tunajua kuna wengi ndani ya serikali na ndani ya CCM, kwa nini mpaka sasa waliobaki hawajasema chochote?
 
💯%.
 
Kama yote hayo ni kweli na Magufuli ameshakufa na tunajua kuna wengi ndani ya serikali na ndani ya CCM, kwa nini mpaka sasa waliobaki hawajasema chochote?
Waliobaki wapo ndani ya mfumo na wanalinda masilahi yao. Kwa mfano IGP rtd Sirro ni mkuu wa Mkoa.
Alipo ondolewa u IGP akapewa ubalozi Zimbabwe deliberately kwasababu kuu mbili
1. Kumuacha ndani ya mfumo ili asizungumze hovyo
2. Kumtoa nje asijihusishe na siasa za ndani

Aliporudi nchi akapewa ukuu wa Mkoa wa Kigoma, again for the same !

Utaniuliza mbona akina '' Maja na Mission'' hawasemi! Well, wao wanapata 80% ya mshahara, wana watumishi, magari ya Umma , madereva n.k. Watasema ili iweje? Wanataka nini zaidi ya kukumbatia vibuyu vya asali na wajuu zao. Kumbuka nao wana watoto wana waanda kushika nyadhifa!

Biswalo Mganga si Jaji kule , anakula kwa raha zake, atasema ili iwe nini kwa masilahi yake
 
Hmm….naona ni speculations tu.
 
Kumbe hata wewe upo kwenye kundi la WAJINGA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…