Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,076
- 136,516
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?
Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.
Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.
What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.
Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.
What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….