My crazy theory…..

My crazy theory…..

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,076
Reaction score
136,516
What if…..just what if wanamtandao ndo waliosuka njama za kutaka kumuua Tundu Lissu huku wakijua kwamba endapo watafanikiwa, basi lawama zote atabeba/ atabebeshwa Rais Magufuli kwa sababu tayari watu hao wawili [Magufuli na Lissu] walikuwa na vita baridi ya maneno?

Crazy huh? Maybe it is crazy, but it ain’t far-fetched.

Watu huwa wanajua sana ku exploit fursa.

What say you? Am I way off base? Or am I onto something here….
 
Magufuli alikuwa Christian kwa sababu nilimuona Kanisani mara nyingi sijui sana khs Tundu Lisu lkn najua siyo muslim, hivyo ukiangalia patterns za matukio nchi hii tangia uhuru, utaona victims wote (karibia) ni Christians tu hakuna muslims hata mmoja ukiondoa labda Kibao ambaye ni mtu mdogo sana hata hivyo kuweza kumjumuisha, na nijuavyo muslims wako vitani against the so called "mfumo Kristo" tangia uhuru na wala hawafichi kama tu unaweza ku -read between the lines na ndiyo maana hata husema (muslim) kwamba uhuru wameleta wao na wao ndiyo waliomkaribisha Nyerere plus pendulum sasa hivi imelalia upande mmoja tu, power yote karibia 100% iko kwao (muslims), hivyo kuamini kwamba ni coincidence tu wanaofariki wote wametokea tu kuwa Christians kuwa naive.

war on Christianity is real ...
 
Kwa hilo sikubaliani na theory yako, Polepole kuwa upande kinzani na watawala hawakufuti yale mtawala aliyemuunga mkono aliyakosea na yeye akayakubali.

Taratibu naona mnaanza kumsafisha Jiwe kama ambavyo wakati wa jiwe mtangulizi wake alionekana bora.

Tukiachana na Lissu vipi wengine kama kina Roma & Ben??
 
Kwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?

Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
 
Kwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?

Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
Wanamtandao ndio waliofanya uchafuzi wa serikali za mtaa 2019 uwe vile ulivyokua, wanamtandao ndio walifanya uchafuzi wa 2020 uwe vile.

Wanamtandao ndio waliokua wanabagua maeneo ya kupeleka maendeleo kwa misingi ya itikadi za kisiasa.

Magu kuna vitu alikua anakosea, Polepole anamsafisha ila haiondoi kua hata yeye alikua ndani mfumo uleule.
 
Kwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?

Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
Kiukwel,lissu alishambuliwa na magufuri na tufunge mjadala
 
Kwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?

Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
kama tukikubali wanamtandao walimfyeka rais , basi wanamtandao yawezekana wananguvu hiyo
 
Kwenye system kuna mambo mengi yanayoendelea, wewe ukiwa Rais huwezi ukatuma watu waende kuua kila siku wapinzani wako wakati unajua fika itakuchafua moja kwa moja, kwahiyo kuna uwezekano wa kikundi kisichokutakia mema kikatumia hilo gape kukuchafua kwa kuwaondoa wapinzani wako kwa kuwaua kikatili ili uyumbe maana pressure itakayokuja kwako kutoka kwa wananchi ni kubwa na utakua umechafuka sana.
 
Ukabila unakusumbua, kama kweli hakuhusika kwanini hakuweka wapelelezi ili wapatikane wauaji?? Kwa jinsi alivyokuwa Magu unahisi angekubali kuchafuliwa Kama sio kweli?

Kwani Tundu Lissu si mwananchi wake na jukumu la kulinda amani ya nchi na raia ni la kwake rais..!!

Rais gani anakubali kupata kashfa kama ile na akatulia ikiwa hahusiki?
Huyo Magu hakuwa mtakatifu wa kila kitu acha taharuki..!!
 
Kwenye system kuna mambo mengi yanayoendelea, wewe ukiwa Rais huwezi ukatuma watu waende kuua kila siku wapinzani wako wakati unajua fika itakuchafua moja kwa moja, kwahiyo kuna uwezekano wa kikundi kisichokutakia mema kikatumia hilo gape kukuchafua kwa kuwaondoa wapinzani wako kwa kuwaua kikatili ili uyumbe maana pressure itakayokuja kwako kutoka kwa wananchi ni kubwa na utakua umechafuka sana.
💯
 
Kwa nini unaamini badala ya kujua?
Kwa sababu sikuwepo walivyokuwa wana-plot mpango mzima, ila ukiangalia kwa umakini unaona kabisa uhusika wa jamaa. Bunge kugomea stahiki zake, matibabu yake, kusafirishwa hospitali vyote bunge na serikali haikushiriki hata kidogo, wakajitolea watu binafsi kumsafirisha na nadhani hata matibabu.
 
Back
Top Bottom