Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 776
- 2,542
Kuna muda unaweza kujilaumu ama kumlaumu mtu kwa kukupitisha sehemu fulani. Ni Mungu tu huwa naamini, kila past huwa na mambo yake. My dearest sister, just let the past pass na sikuambii usahau ila make peace with your past. Una watoto ni jambo la kumshukuru Mungu. Uliteleza na kuanguka lakini hukuzama moja kwa moja. Mungu hakutazami katika jicho unalojitazamia, anaingalia nadhiri yako na kilio chako. Naamini kupitia story yako kuna watu wamechukua ABC's. Mungu atuhurumie