The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
Za asubuh wana jukwaa.Mungu ni mwema Kila wakati.
Wakati nasoma chuo,about 10 years ago,nikiwa mwaka wa kwanza.Nikiri i was virgin and still naive.Basi nikakutana na bazazi moja likanishawishi tukaanza mahusiano ya mapenzi.Tulikuwa wote first year sema course tofauti.Nakumbuka ilikuwa second semester,katika mahusiano hayo nikabeba ujauzito.
Nikatafuta wasaa nikamweleza mhusika,akanijibu,we waulize wanawake wenzio huwa wanafanyaje,akaondoka zake.Niliumia Sana,then jioni nikakutana na room mate ambaye yeye alikuwa kanitangulia miaka miwili nikamweleza akanambia umepima nikamjibu nope,ila Nina mwezi nimemiss period.Akanambia nenda kapime kwanza,next day nikaenda dispensary ya chuo nikapima majibu yakawa positive.
Nakumbuka nilirud room nalia Sana,hata lecture za sikuhiyo sikuingia.Niliwaza mengi ikiwemo nitawaambiaje nyumbani.Muda wa lunch akaja room,huyo roommate,akanambia majibu vipi nikampa karatasi ya hospital.Akaniuliza mhusika umemwambia,nikajibu ndiyo.Akaniuliza tena kasemaje,nikamwambia kanambia niulize wanawake wenzangu huwa wanafanyaje na since then hata simu zangu hapokei.Akanambia usihofu kesho ntakupeleka sehemu.Kweli kulipopambazuka akanipeleka maeneo ya makumbusho,kulikuwa na kihospital flan bubu,akaongea na dokta,tukalipa,then nikaandaliwa nikapigwa nusu kaputi.Yaliyoendelea sikumbuki,ila ikawa the end of my precious first baby that day.
Nikakata mahusiano na yule bazazi na sikuwahi date tena hadi nagraduate.Ila nilipata depression kwa kile kitendo,niliteseka semester nzima GPA yangu ilishuka vibaya Sana.
Kila nikikumbuka moyo waniuma,huenda saivi ningekuwa na vidume vyangu vitatu manake saivi ninao wawil.Baby wherever you're am sorry,i was young,naive and stupid.Hiyo ni mistake nilifanya nikiwa undergraduate lakini hadi leo yanitafuna consious yangu.
Wakati nasoma chuo,about 10 years ago,nikiwa mwaka wa kwanza.Nikiri i was virgin and still naive.Basi nikakutana na bazazi moja likanishawishi tukaanza mahusiano ya mapenzi.Tulikuwa wote first year sema course tofauti.Nakumbuka ilikuwa second semester,katika mahusiano hayo nikabeba ujauzito.
Nikatafuta wasaa nikamweleza mhusika,akanijibu,we waulize wanawake wenzio huwa wanafanyaje,akaondoka zake.Niliumia Sana,then jioni nikakutana na room mate ambaye yeye alikuwa kanitangulia miaka miwili nikamweleza akanambia umepima nikamjibu nope,ila Nina mwezi nimemiss period.Akanambia nenda kapime kwanza,next day nikaenda dispensary ya chuo nikapima majibu yakawa positive.
Nakumbuka nilirud room nalia Sana,hata lecture za sikuhiyo sikuingia.Niliwaza mengi ikiwemo nitawaambiaje nyumbani.Muda wa lunch akaja room,huyo roommate,akanambia majibu vipi nikampa karatasi ya hospital.Akaniuliza mhusika umemwambia,nikajibu ndiyo.Akaniuliza tena kasemaje,nikamwambia kanambia niulize wanawake wenzangu huwa wanafanyaje na since then hata simu zangu hapokei.Akanambia usihofu kesho ntakupeleka sehemu.Kweli kulipopambazuka akanipeleka maeneo ya makumbusho,kulikuwa na kihospital flan bubu,akaongea na dokta,tukalipa,then nikaandaliwa nikapigwa nusu kaputi.Yaliyoendelea sikumbuki,ila ikawa the end of my precious first baby that day.
Nikakata mahusiano na yule bazazi na sikuwahi date tena hadi nagraduate.Ila nilipata depression kwa kile kitendo,niliteseka semester nzima GPA yangu ilishuka vibaya Sana.
Kila nikikumbuka moyo waniuma,huenda saivi ningekuwa na vidume vyangu vitatu manake saivi ninao wawil.Baby wherever you're am sorry,i was young,naive and stupid.Hiyo ni mistake nilifanya nikiwa undergraduate lakini hadi leo yanitafuna consious yangu.
