My confession


Pole mama. You cant change the past , the ink is already dry. Believe that you are forgiven and live a happy life.
 
Endelea kufanya toba kila siku mpaka upatapo amani ya moyo
 
Pole sana dada huyo mtoto amesikia kitubio chako na hatokuzuia kupita kwenye mlango wa paradiso

Na wanaume wa namna hiyo wako wachache sana ila huaribu wanawake wengi kwa maana wanaume wapole hawapendwi na wanawake wengi

RIP bazazi popote ulipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eet #r.i.p bazazi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli bazazi mm ata kama cna mpango na uyo mwanamke ila nitampa ushirikiano na kuamua kwa pamoja tufanyaje pole sana
 
Hakuna ambaye hakosei wengi Wetu tunajifanya wema wakati ukute ww apo ushawai muingilia mtoto wa watu kinyume na maumbilie usiwe mwepesi kuukumu na kujiona mkamilifu
 
Hakuna ambaye hakosei wengi Wetu tunajifanya wema wakati ukute ww apo ushawai muingilia mtoto wa watu kinyume na maumbilie usiwe mwepesi kuukumu na kujiona mkamilifu
Nani kakuambia najifanya mwema, hivi umesoma hata nilichoandika?
 
Usijilaumu sana mkuu kikubwa kubali ulijikwaa na kukubaliana kilichotokea kwa sasa tubu mrudie mungu wako maisha yaendelee
 
Lipo maporini huko,nilishalisahau sema nikikutana nalo nakumbuka manake kazi zetu zinaingiliana sana.
Najaribu kuwaza hapa iyo miaka 10 mlikuwa ulivyotoa mimba na mlikuwa class moko ilokuwaje kuwaje yani kuonana umo class mambo ua hapa na pale classini umo kwa ujumla kichuo chuo yani
 
Nakumbuka kuna mdogo wangu wakike alibeba alipomaliza2 kidato cha4, nilichukia sana yaani nilihisi kama vile nimtoto wangu alafu hata bwana aliyempa ujauzito hana mbele wala nyuma, nikaanza kumshawishi aitoe hiyo mimba ila aligoma kabisa akavumilia mpaka akajifungua mtoto wakike ila sasa siri yangu tu yaani najisikiaga vibaya sana nikimuonaga mtoto wake yaani najiambiaga mama yake angesikilizaga ushauri wangu uenda asingekuwepo duniani yaani in short huwa inaniumiza sana yaani najionaga nimkosaji sana!!
 
Najaribu kuwaza hapa iyo miaka 10 mlikuwa ulivyotoa mimba na mlikuwa class moko ilokuwaje kuwaje yani kuonana umo class mambo ua hapa na pale classini umo kwa ujumla kichuo chuo yani
Hatukuwa class moja au course moja,ila tulikuwa tunaonana Sana na iliniathiri Sana ,nilipata depression
Hadi leo nikimwona namwona kama mtu katili na muuaji tu.Sina chuki naye ila namwona katili na asiye na utu.
 
Huwa inatesa sana
Watu hawajui tu,kama una dhamiri Safi lazi ma uumie tu
 
Asiye na dhambi awe wakwanza kumtupia mawe huyu dada
 
Kwani mie nilimwambia nataka anioe,angenionyesha ushirikiano huenda nisingepotoshwa kufanya niliyofanya,ingawa hilo halijustify niliyofanya
Mimi ninamaombi mabaya Kwa wanaoua/wanaotoa mimba kisa, Ohio nyumbani wakali,Mara Ohio maisha duni.
Natamani na wao wawe wanapilitiza tu wasizae tena.Binadamu sisi ni wakatili mno ata Kwa viumbe visivyo na makosa yeyote.
Pia wanaume wanaotelekeza mimba au watoto,MFANO:BABANGU daaa!hawa wanapaswa kunyongwa kabisa,hawastaili kuishi katika dunia yetu,wanasababisha majonzi na vilio vingi Kwa watoto na mabinti/wasichana wengi
 
Huwa inatesa sana
Watu hawajui tu,kama una dhamiri Safi lazi ma uumie tu
Inanibidi nitubu aisee maana nakumbuka ishawatoresha mimba wanawake wangu kama watatu hivi, Mungu anisamehe aisee nanimeapa sitakuja tena kufanya ufuska waaina hiyo tena
 
Inanibidi nitubu aisee maana nakumbuka ishawatoresha mimba wanawake wangu kama watatu hivi, Mungu anisamehe aisee nanimeapa sitakuja tena kufanya ufuska waaina hiyo tena
Mie pia niliapa kutokuja kutoa mimba Tena hata iweje
Watoto ni barka toka Kwa Mungu,halafu huwezi jua kesho atakuwa nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…