My all time best bongo fleva list

My all time best bongo fleva list

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,260
Reaction score
9,743
1.Yote maisha - madee ft pfunk. Hii ngoma uwa nikiisikiliza ina nitouch sana. Inanikumbusha 2007 ambapo Pfunk alikuwa on the peak before hajashuka na madee akiwa madee kweli. Meseji na beat vyote vina hisia.
2. Alikufa kwa ngoma- Mwana F.a ft Jaydee. Hii ni kati ya ngoma ambazo pia alitengeneza majani. always collabo za f.a na jaydee zilikuwa hatari sijui shetani gani aliingia hapo kati akawagombanisha lakini hii ngoma kwangu mpaka leo siichoki. Napenda flow na uandishi wa F.a wa zamani.
3. Hayakuwa mapenzi- Sugu. Hii ngoma napenda ujumbe na flow za sugu humu ndani. Kusema ukweli ni ngoma chache sana za sugu nazozikubari coz uwa sio mpenzi wa style yake lakini humu alinibamba sana.
4. Niaje - mandojo na domokaya ft Jnature. Huu mkono wa Mika Mwamba. Melody vocal na lyrics za wote walioshiriki uwa zinanifanya nisichoke sikiliza huu wimbo.
5. Nenda - 3D (Mandojo domokaya and squeezer). Mkono wa Ramar kipindi yuko on the peak. Hii ngoma naikubari mpaka kesho kwa kila kitu.
6. Tambara - hardmad ft.... aliye mshirikisha ni mdada jina silijui lakini ni kati ya ngoma kali sana ambazo mpaka leo naweza sikiliza. Kama kawaida Mika mwamba ndiye kaipika.
7. Changa la macho - Ay ft GK. Hii ngoma kaisuka marehemu complex RIP. Flow za ay za ktambo na gwamaka zitakufanya uhitaji ku i replay.
8. Tutakukumbuka - GK ft tid. Hii ngoma kaitengeneza Ludigo akiwa MJ records, enzi za kamanda gk. Ni ngoma ambayo nikiiskiliza inanikumbusha kumrudia Mola.
9. Wauguzi - Ngoma ya wagosi wa kaya. Nadhani itakuwa Mj records. Sijui kwanini uwa naipenda ila i just love it.
10. Nyalu land - Mike Tee ft jaydee. Aisee hii ngoma kaitengeneza Master J, ngoma zote alizowahi kushirilishwa jaydee zilikuwa hot. Na ole flow ya kunata ya mike Tee na maneno yake ya kinyaru hunifanya nisiichoke hii ngoma.
11. Mabinti dam dam- F.A. hii ngoma ngaitengeza Bon Love, again F.A wa zamani nilikuwa napenda flow yake na uandishi wake wa kifalsafa.
12. Tuliza boli - F.A ft stara Thomas. Hapa sitii neno maana F.A wa zamani.
13. Binamu - F.A. nadhani hii ndiyo ngoma ya mwisho kumkubari sana F.a. siku hizi namkubari kawaida. Mpishi wa hii ngoma ni Marco chali kipindi bado yuko kama kawa records.
14. Handsome - Dully sykes. Huu mkono wa Pfunk. Huu wimbo unanikumbusha enzi hizo kiukweli i just love the beat and te flow of dully kwenye hii ngoma nothing else and the memories labda.
15. Yatima hadekezwi - ...ft squeezer. Mwenye wimbo nimemsahau ila ni ngoma moja ina ujumbe mkali sana.

Remember those dem days kabla ya nigerian genre na kwaito kuvamia bongo fleva
 
Ni ngoma nyingi kali zimepita, ni ngumu kwangu kupanga hata 50 bora
 
Mm ngoma za enzi hizo nazozikubali ni
1:mtoto idd, ubinadamu kazi,na sonia hizi zote ni za sir nature kiroboto a.k.a kibra

2:stori tatu ___nyimbo ya jay mo
3:ice cream __nyimbo ya noorah
4:latifa__ nyimbo ya mb dogg
5:zari la mentali __prof j vs nature
6:nampenda yeye__mh temba
vs dully
7:nyammizi,salome,___dully sykes
8:mapozi__mr blue bayser
9:zeze na girlfriend ___t.I.d mnyama
10:niko busy ya jmo
 
1. Mama Mia-Jose Chamilion
2. Rudi rudi mpenzi - Big Dog Pose (BDP) kama sijakosea
3.Tunataabika - Mabaga Fresh
4. Namba 8 - ft Fid Q
5. Sugu Moto Chini
6. Niaje na Taswira Mandojo na Domokaya
7 Tamara wa Hardmad
8. Jay Mo - Mvua na Jua kifupi albam yake nzima ya ulimwengu ni mama ilikuwa motooo!!
9. Q Chila ninachokipata
10. Kuna remix ya K lyn na Jay Mo wimbo wa nikimpata wangu bila shaka!!

Nyimbo sizipendi ila nikizisikia nakumbuka jambo!!

Salome wa Dully Sykes! Nakumbuka wakati wake ilikuwa kila asubuhi Magic FM lazima upigwe so na wakati huo nilikuwa katika hali fulani daaah!! Hunirudisha exactly kwenye picha nzima
 
Salome - Dully
Barua- daznundaz
Zali la mentali - Prof Jay
Siri yangu - Jaydee
Mapozi- Blue
Mikasi- Ngwair
Namba8 - dazbaba
Sister sister - GK
Basi kama vipi
Icecream- Noorah
Wachumba 30- john m.
Sikiliza - dataz ft Joan
Mzee wa busara
Sitaki demu- jnature
Mtoto wa geti kali

List is endless
 
Mtazamo - Afande Sele ft prof jay na solo
Darubini kali- Afande Sele
Ndugu zangu - Afande Sele
Swahiba - Jebby
Barua - Daz Nundaz
Kamanda - Daz Nundaz
Jinsi kijana - j nature
Tunataabika - mabaga fresh
Hili game - j nature
Homa ya dunia - solo thang
Mzee wa busara - j nature
Ingekuwa vipi - mwana fa
Kikao cha dharura - prof jay
Ndani ya dsm - prof jay

List inaendelea ....
 
Sema ur old skul.. Not all time.
 
Mpenzi - Dudu Baya aka Mamba aka Oil Chafu hauchafuki itakuchafua aka Zimwi Mtu!

Latifa - MB Dogg

Mikasi - Late Ngwair

Watu Kibao - Wateule

List ni ndefu sana hatutamaliza
 
Back
Top Bottom