Mganga wa Jadi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2008
- 280
- 51
Wakati kasi ya uingizaji magari nchini ikiongezeka na namba za usajili zinaenda pia kwa kasi hiyohiyo;Mimi ni mwana mageuzi sasa nawaza hapo mwaka 2015 nategemea kununua gari yangu, je iwapo namba za usajili zitakuwa zimefikia CCM alafu nikatakiwa kupewa namba ya usajili mfano:T 100 CCM;nifanyeje? Je kuna uwezekano wa kuomba special number?Na hizi namba haziwezi kutumiwa na wenzetu kama mtaji wa kisiasa? Au tuombe TRA waziruke?