Mwongozo kusitisha shughuli zote za Bunge kujadili Mgomo wa waalim 30/07/2012

Wabunge wa ccm. Haiwezekani hawa wenzetu kushabikia mgomo hivi. Lazima wao ndo wame organize. Waalimu tuwapuuze hao. Ccm oyeee. Wabunge ccm vigelegele bungeni
 
mimi mgomo nilianza siku nyingi sema kesho nauendeleza tu mana toka nianze january hata topic mbili hazijafika.

Amin usiamin Mwl. walim wengi sana Tz walishagoma na ndo mana sasa matokeo ni mabaya mabaya kila siku.
serikali lazima imrudie mwl na kuongea nae vema ili mwl arudi darasani upyaaa.
 

Kama unamsema hivi Mwl wako.
Je unakumbuka hata mchango wake wakati hujui hata "a"
ila wa TZ kwa kukandia ni noma.
 
Walimu hamna umoja wenzenu wanaomba muendelee kugoma ili wao waitwe kazini.
 
Nimepita wilaya ya same kuelekea daa Nimefanikiwa kupita shule zilizoko karibu na barabara kuu. Shule za njoro, ishinde, majevu, kisima, makanya. Nkwini hakuna waalimu shuleni wanafunzi wametelekezwa
 

Hili suala liko mahakamani na halite jadiliwa, full stop !
 
Itabidi Bunge letu lisiwe na ratiba ya mikutano yake ili liwe linakaa kila siku kujadili mambo yanayotokea siku hyo.
 
kama ilivyo kawaida ya serikali kukimbilia mahakama kama chaka la kuficha uovu wao... unaendelea kwa kusingizia kesi ishafika mahakamani...
MAONI YANGU : naona mambo haya tusiyavumilie kabisa la sivyo tutaelekea pabaya
 
Hii nchi ina laana, sina hakika kama watawala wanalijua hilo, pengine wangetafuta suluhu mapema.
 
Si wamuulize awatajie ni kesi namba ngapi na inasikilizwa na hakimu gani na iko hatua gani,

halafu wanamlea huyo ndugai,
sisi wananchi hatukuwachagua wabunge kutuwakilisha halafu wawe wadogo mbele ya ndugai. Akikwambia kaa chini mwambie sikai chini, bunge si jeshi, kama vipi tualikeni kupitia hilohilo bunge, semeni hiviii "wananchi njooni tujazane mjengoni ndio hoja zenu zitasikilizwa" uone mwitikio na upuuzi wa ndugai na makinda utaishia hapo.
 
Wanalea tatizo mpaka litakapokuwa kubwa ndio wataamka na kuanza kujadili,Ndugai kaelekezwa tayari asiruhusu hoja yoyote ya walimu kujadiliwa.
 
Spika na Naibu siyo wa Bunge tena, Ni spika na naibu spika wa serikali hivyo Wabunge wamekuwa fuata upepo. Yawezekana Wah. Wabunge wanalijua hilo au la, lakini hivyo ndivyo hali ilivyo bungeni.
 
kaka hapo umenena maana ndugai na makinda wake wanatumika na serikali kupiga chini uozo wao...
NAKUMBUKA MSEMO WA KAMANDA MNYIKA: TUMEFIKA HAPA KWA SABABU YA UDHAIFU WA RAISI NA WASHIRIKA WAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…