Mwl. Nyerere bado upo na utaishi sana

Mwl. Nyerere bado upo na utaishi sana

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,339
Reaction score
1,493
Habari !

Mwalimu Nyerere hakika wewe bado ni Kiongozi wa mfano na utaendelea kuwa mfano bora vizazi kwa vizazi.

Binafsi nitakukumbuka mara ya mwisho kukuona katika maonesho ya Sabasaba Dar es Salaam mnamo mwaka 1999 kabla ya umauti wako Babu Nyerere. Ulikuwa mtu poa sana na uliijulia sana hii nchi.

Napenda nikukumbuke Mwl. Nyerere.

Miss you a lot Babu.
 
Hivi sasa Samia na wahuni wanainajisi katiba ya nchi.
 
Back
Top Bottom