Mwl.hamia Bahi nije morogoro popote au pwani.

Mwl.hamia Bahi nije morogoro popote au pwani.

svoca

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2014
Posts
373
Reaction score
70
Husika na kichwa hicho cha habari,nina mdogo wangu ni mwl wa sekondar yupo bahi Dodoma anataka wa kubadilishana nae maeneo kama hayo msaada wadau.
 
mzee sikukatishi tamaa.Ulishawahi kufika walau Bahi mjini?
 
Husika na kichwa hicho cha habari,nina mdogo wangu ni mwl wa sekondar yupo bahi Dodoma anataka wa kubadilishana nae maeneo kama hayo msaada wadau.

We bakia huko huko ugogoni!, unataka uende pwani?. Otea jua la Dodoma mpaka uwe kama mkaa. Huko walahi hupati mtu labda awe mgogo wa huko huko. Endelea kubembeleza labda watakuonea huruma
 
Back
Top Bottom