mjombo's JF-Expert Member Oct 21, 2011 494 83 Nov 18, 2012 #3 sio kila mfukaza kuku ni mwizi, kwa picha tunayoiona hapo it daz not justify itself kwamba huyo jamaa ni mwizi, coz anaweza akawa ametoroka bandani na jamaa yupo ktk huku na kule za kumkamata kuku
sio kila mfukaza kuku ni mwizi, kwa picha tunayoiona hapo it daz not justify itself kwamba huyo jamaa ni mwizi, coz anaweza akawa ametoroka bandani na jamaa yupo ktk huku na kule za kumkamata kuku
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,639 4,526 Nov 18, 2012 #4 Mwizi wa kuku hawafukuzi kaka,huwa anawavizia....