Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Mwabukusi amesema mwizi ni mwizi hakuna lugha ya kiungana ya kumuita mwizi, akisema kama mtu anataka heshima ya kinafiki atoke kwenye ofisi za umma akakae nyumbani kwake ambako atasifiwa wakati wote.
Akaongeza kuwa kama ukikaa kwenye ofisi za umma hauna faragha unayoitaka, ukiiba au ukiwa mzembe utaambiwa ukweli kama hutaki utoke kwenye ofisi hiyo.
Mwabukusi ameyasema hayo leo katika Mkutano na Waandishi wa Habari tar 5/9/2023, akiwa na akina Dr. Slaa, Mdude na Mbatia.