Mwabukusi: Mwizi ni mwizi hakuna lugha ya kiungwana ya kumuita mwizi

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,626

Mwabukusi amesema mwizi ni mwizi hakuna lugha ya kiungana ya kumuita mwizi, akisema kama mtu anataka heshima ya kinafiki atoke kwenye ofisi za umma akakae nyumbani kwake ambako atasifiwa wakati wote.

Akaongeza kuwa kama ukikaa kwenye ofisi za umma hauna faragha unayoitaka, ukiiba au ukiwa mzembe utaambiwa ukweli kama hutaki utoke kwenye ofisi hiyo.

Mwabukusi ameyasema hayo leo katika Mkutano na Waandishi wa Habari tar 5/9/2023, akiwa na akina Dr. Slaa, Mdude na Mbatia.

 
Mwabukusi ni mwamba. Amemwambia IGP aache uoga kama ana hoja amwite atafute na wataalamu wakae mezani wabishane kwa hoja sio kumpiga virungu mtu anaitiwa polisi wezi.

Yani anawaonyesha polisi mwizi ndio anapigwa virungu na polisi 🤣🤣
 

Mwabukusi amesema mwizi ni mwizi hakuna lugha ya kiungana ya kumuita mwizi, akisema kama mtu anataka heshima ya kinafiki atoke kwenye ofisi za umma akakae nyumbani kwake ambako atasifiwa wakati wote.

Akaongeza kuwa kama ukikaa kwenye ofisi za umma hauna faragha unayoitaka, ukiiba au ukiwa mzembe utaambiwa ukweli kama hutaki utoke kwenye ofisi hiyo.

Mwabukusi ameyasema hayo leo katika Mkutano na Waandishi wa Habari tar 5/9/2023, akiwa na akina Dr. Slaa, Mdude na Mbatia.


Mwabukusi ni mpambanaji. Wezi wezi wote hawawezi kumpenda huyu ndugu.
 
Back
Top Bottom