stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
kuna jamaa mmoja aliiba kuku mitaa ya uswahilin akakimbia mpaka akafika karibu na ziwa hakuna sehemu ya kukimbilia. Akamchukua akamnyonyoa fasta alafu akamtupia kwenye maji yule kuku! Watu wakaja wakamkuta yuko pale na manyoya wakamuuliza kuku yuko wapi akajibu ameenda kuogelea ameniomba nimshikie nguo zake!