Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,608
Headline ya The Daily News imetulia kwani imekwepa ushabiki na ushankupe kama uliooneshwa na Uhuru au Jambo Leo. Sina hakika lakini inawezekana magazeti kama Raia Mwema na Mwanhalisi wameandika uchambuzi badala ya habari (reporting). Kwa maana hiyo magazeti mawili ningeyaondoa kwenye hiyo list yako. Hata hivyo ni muhuimu kujua nini zaidi wameandika kabla ya kufikia hitimisho.