Mwisho wa RIM? ( Blackberry )

Kang

JF-Expert Member
Jun 24, 2008
5,495
2,251
RIM = Research in Motion, watengenezaji wa Blackberry.

RIM wametangaza hasara ya $518 Million.

Wanafukuza watu 5,000 kazi kupunguza gharama za uendeshaji.

BB10 simu mpya yenye OS mpya, ambayo ndo ilitakiwa iwarudishe katika ushindani wa Smartphones hasa katika soko la Marekani, wameshindwa kuizindua mwaka huu na sasa wanasema itatoka 2013, kutokana na maengineer kushindwa kukamilisha kazi ya kuiweka software sawa.

Mauzo ya BB yameshuka kutoka simu milioni 11 hadi millioni 8.

Thamani ya kampuni imeanguka kutoka Billioni $78 (2008) hadi Billioni $4, anguko la karibia %95!

Kuna uwezekano wa RIM kupona kweli?
 
Kang, this reminds me the fact that if we are not in motion to accommodate changes as they happen and respond accordingly, we would all end up as waste in the dustbin.
RIM did not think Ipad and other smartphone companies would give them headaches so soon. They did not prepare themselves and now they pay the price. But all is not lost with creativity...they can come back with a product that could turn their business around! I refer back the essence of pro-activity in our endevors.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni habari mbaya sana hasa kwa sisi wapenzi BB,kwa mwelekeo huu nadhani ndio mwisho RIM

Sent from my BlackBerry 9630 using JamiiForums
 
Naomba maelezo zaidi kuhusu RIM.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
RIM will come back strong....hiyo os mpya wanayotengeneza italeta ushindani mkubwa japo kuitoa 2013 ni great setback kwani apple na samsung watakuwa wameshatoa vyombo vikali zaidi.....
 
Nimesikia new bb phones zitafungwa android nadhani ndo mwisho wa bb os
 
$78Bil mpaka $4Bil???
Me naona waanzishe biashara ya kuuza samaki tu. yaani wanakufa.
 
Nimesikia new bb phones zitafungwa android nadhani ndo mwisho wa bb os

Wamekataa kufunga Android, wangefunga Android wangekufa mapema zaidi maana manufacturers wote wa Android wanakula hasara kasoro Samsung.
Nadhani kampuni itavunjwa vunjwa na kuuzwa vipande, BB10 kuwaokoa sio rahisi, angalia WP7 OS nzuri ambayo kila reviewer anaisifia na hardware kiboko ya Nokia lakini bado kukamata market share ni tatizo, uzuri wa Microsoft ana cash zinaingia kutoka sector zengine so wanaweza kung'ang'ania kwa muda mrefu sana, RIM wanategemea simu more or less hawawezi kula hasara kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom