Mwisho wa Daudi Ballali


mnataka ni wasaliti wazazi wangu na walimu wangu walionifundisha na kujua ujinga na ukweli acheni porojo zenu kama gazeti mmehongwa nyie kuleni hizo pesa i tambueni jamii ya watanzania ya leo s yakuwaamini wandishi wa habari tena tushawastukia acheni porojo kama kafa kweli kwanini asije zikwa tz mmekaa mmeamua jenga kaburi ili kutuzuga eti acheni upuuzi wenu kuanzia mwandishi mpaka mhariri wa gazeti la mwananchi nimewadharau na sisomi tena taka taka zenu hizi bora niangalie bongo movie
 
Nimekuelewa ,kuna kitu hapa ..
 
Mwandishi weka na death certificates ili tujue mmeamua kumfuta balali kwenye list ya wanaishi
 
Mwandishi weka na death certificates ili tujue mmeamua kumfuta balali kwenye list ya wanaoishi
 
Mtoto wa mfalme anapohonga mwandishi ili amtetee mfalme
 

hili gazeti mwananchi sasa limeanza kupoteza muelekeo.
 
Aseee cjawah ona uongo kama huu, yaan kama nchi hii wangekuwa hakuna kuuwana m ningefanya pravety investigation nikaja nauthibitisho, ila ss duuuuuuuuuuuu. Ngoja tuendelee kudanganywa
 

Nimeisoma makala gazetini imeniacha na maswali mengi sana. Moyo wangu unagoma kushawishika kama kuna ukweli wowote.
 
Tutajuaje hilo kaburi kwenye picha lipo Marekani? Haiwezekani wakachonga kaburi fake ili watuzuge?
 
Mwandishi alikuwa anafanya research au field? Alinadhani CCM wanaweza tengeneza kitu na wakaacha open sehemu zinazotiliwa shaka?hivi alitegemea kaburi halipo na wakati wamekuambia kafa?walijua utaenda tu je aliyezikwa ni yeye?na kaburi na fact ya ufo wake pekee?
 
huu sio uthibitisho. huwezi kusafiri amerika kutuletea picha ya kaburi tu tukuamini. tumia akili za mwanahabari anayeijua kazi yake.
Ni sawa na uambiwe wewe sio raia wa Tanzania alafu unakuja na picha ya makaburi ya babu zako kuonyesha walizikwa hapa nchini, aongeze supporting document zingine
 
Mungu kaiumba Tanzania na maajabu yake.....!!
 
Hizi tutaziona sana mpaka 2015 ipite. Kila gazeti ni kipindi cha kupiga hela.
 

Naona kama wote hamjasoma hii story. wamesema inaendelea na keshio mbali.
 
Naona kama wote hamjasoma hii story. wamesema inaendelea na keshio mbali.

Kizazi cha sasa/leo ni wavivu sana kwenye kusoma. Kuna viongozi wengine pia nao ni wavivu kusoma pamoja na kuwa
na sifuri darasani (zero) ila wao wanataka madaraka tuu. Kusoma hapana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…