Kung`olewa kwa Chenge ktk nyadhifa zake bungeni na kamati ya PAC kumeongezea dosari kubwa rasimu aliyoiandaa yeye na Sitta..Ukawa wamepata pointi nyingine kubwa ya kuizamisha katiba pendekezwa!!!Mkono mchafu hauwezi kuandika katiba
Kwaheri Chenge kwa heri Magamba..kalibuni mwakani kuwa chama kikuu cha upinzani!!!