Mwisho wa Amerca na Ulaya unakaribia ijapokuwa uko mbali

Mwisho wa Amerca na Ulaya unakaribia ijapokuwa uko mbali

azzurre

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
107
Reaction score
96
Mimi simuelewa sana katika mwasuala ya vita vinavyo endelea Mashariki ya kati pamoja na nchi za ki arabu pamoja na nchi za kiislamu mpaka pale utawala wa kimarekani na wazungu wa ulaya utakapo anguka.
na kwa ivi sasa tayari zimesha anza kuonekana dalili za kuondoka kwenye Mamlaka ya ulimwengu,
suala ni yupi au wapi wata chukuwa nafasi ya kutawala dunia? baina ya Watu wenye jamii ya kichina, waislamu au waafrika?
kwa upande wa nchi zenye jamii ya kichina zinaonekana kujizatiti katika masuala ya kiuchumi zaidi mfano china sasa ivi ni nchi ya pili yenye uchumi mkubwa duniani na ukiziangalia japani, Korea nazo zote zinafanya uzuri. kiufupi hawa jamaa wame elemea zaidi katika uchumi na technologia

Kwa upande wa nchi za kiarabu na waislamu, ni nchi ambazo zina malihafi nyingi kama vile libya, somalia, Mali, Nigeria, Misri, Tunisia, Pakistani nk, nchi hizi zote zina matatizo ya kiusalama ambayo unwawajumuisha waislamu wanaitwa "wenye msimamo mkali / Magaidi nk"na wakati huo huo Amerca na Ulaya wanazidisha mikakati ya kupambana nao, ila jambo wanalokosea hawa jiulizi kwanini kila siku vikundi hivi vya waislamu wenye msimamo mkali wanakuwa na nguvu wakati Amerca na ulaya wanazitumia serekali za nchi nyengine kuazibiti lkn utakuta badala ya kutatua tatizo, tatizo linazidi na kuambukiza maeneo mengine-
NB " Soma Historia ya kuenea uislamu ulimwenguni' baada ya kuitafuta na kuisoma historia unaweza kugundua kwamba upo uwezekano mkubwa na wao kuweza kuitawala dunia miaka ya mbele
Vile vile Uislamu sasa ivi umekuwa ni mfumo i.e kila somo ambalo lipo duniani ambalo linafaida kwa mwanaadamu basi utalikuta lipo vile katika taaluma za waislamu na kusomeshwa hata huko ulaya na amerca mfano " Islamic Banking, Finance, Islamic doctor nk" hivyo utakuta waislamu wamewekeza katika mfumo wa elimu na vile vile baadhi yao wapo katika mapigano.
Mimi natabiri kuwa mwisho wa Amerca na Ulaya kuitawala dunia unakaribia
nasubiri maoni yangu kutoka ktika ukumbi
 
Mkuu kuna mahari wakija wenyewe itakuwa balaa, Kwa kifupi ni kwamba kwa sasa kuna Nchi kama tano hivi ambazo ndo zinaenda kuongoza Dunia muda simrefu

1. INDIA
2.CHINA
3.BRAZIL
4.RUSIA
5. SOUTH AFRICA

Ni kweli Ulaya Uchumi wao ni kama umefikia mwisho wao na ukichukua na nature y viinchi vya ulaya utagundua kwamba ndo mwisho wao, na Ulaya kamwe hawwezi kucheza mziki wa uchumi wa nchi za Asia kama vile

1. Korea
2.Japan
3.China
4.India
5.Indonesia
6.Malaysia
Hizi ndo vigogo wa uchumi wa Asia na kwa sa babu china imesiha piku nchi zote za ulaya pamoja na japani, kwa sasa ni zamu ya INDIA kuwapangua wote na hatuna miaka minne mbele ataku ameisha mtoa Mjerumani na hivyo Asia kuwa na mataifa 3 ambayo yana uchumi mkubwa kuliko nchi yoyote ile ya Ulaya

Ila tataizo linalo bakia ni kwamba CHINA, NA INDIA NI MAADUI WAKUBWA SANA NA KUNA UWEZEKANAO HAWA JAMAA WAKAJA KUINGIA VITANI, Na Tatizo ni kwamba Japani na India hazipendi kuona China anakua mbele yao, na Ikumbukwe Japan na India wana uwezo mkubwa kabisa wa kumharibia mchina n t

Na kama ulisha jiuliza ni kwa nini USA hakupiga kelele india ilivyo anza kutengeneza makombora ya Nuclea? USA anajua umuhimu wa India kuwa na Siraha za Nuclea
 
Usidanganyike kwamba waislamu wanaweza kuja kuongoza dunia, siyo rahisi hata kidogo. Islam is a very backward religion, vey backward. Matatizo yanayoendelea huko middle east pamoja na kuongezeka kwa ugaidi kutoka kwa waislamu wenye msimamo mkali ni matokeo ya kufail kwa islamism.

The biggest challenge ambayo wamerekani wanaface ni kuhakikisha China na Asia Pacific are smoothly internationilised, kama unaelewa maana ya being internationilised utaelewa na maana gani. Kwa kimantiki tu, nchi hizi za Asia pacific zinatatizo la nationalism zaidi, yaani wao nchi zao pamoja nakuwa na muchumi makubwa, ambao wanaupata pia kutoka nchi nyingine, lakini bado they just want it for themselves. They still want to consider themselves different from the rest of the world, halafu wanachukiana vibaya sana. Technically, this the main challenge kwenye global power balance kwa sasa. Siyo uislamu!

Alafu inabidi kuelewa kwamba as long as US is a super power, Europe will continue to be strong. Pamoja na hayo, sikatai kwamba kuna vinchi huku Europe vitaathirika sana na kukua kwa uchumi Asia Pacific and Africa.

American economy is till very strong and will still continue to thrive. These guys have invested so much on human resource than you can imagine. They have people!!
 
Usidanganyike kwamba waislamu wanaweza kuja kuongoza dunia, siyo rahisi hata kidogo. Islam is a very backward religion, vey backward. Matatizo yanayoendelea huko middle east pamoja na kuongezeka kwa ugaidi kutoka kwa waislamu wenye msimamo mkali ni matokeo ya kufail kwa islamism. The biggest challenge ambayo wamerekani wanaface ni kuhakikisha China na Asia Pacific are smoothly internationilised, kama unaelewa maana ya being internationilised utaelewa na maana gani. Kwa kimantiki tu, nchi hizi za Asia pacific zinatatizo la nationalism zaidi, yaani wao nchi zao pamoja nakuwa na muchumi makubwa, ambao wanaupata pia kutoka nchi nyingine, lakini bado they just want it for themselves. They still want to consider themselves different from the rest of the world, halafu wanachukiana vibaya sana. Technically, this the main challenge kwenye global power balance kwa sasa. Siyo uislamu! Alafu inabidi kuelewa kwamba as long as US is a super power, Europe will continue to be strong. Pamoja na hayo, sikatai kwamba kuna vinchi huku Europe vitaathirika sana na kukua kwa uchumi Asia Pacific and Africa. American economy is till very strong and will still continue to thrive. These guys have invested so much on human resource than you can imagine. They have people!!
" islam is a very backward religion" hujui unaloliongea, umetawaliwa na mapenzi ya imani yako kuliko uhalisia.
 
Hata mzigeuze Ferrari, Lamborgini n the likes ziwe taxi hawataweza kamwe kuongoza uchumi., Ya'll know why.:car:
 
" islam is a very backward religion" hujui unaloliongea, umetawaliwa na mapenzi ya imani yako kuliko uhalisia.

I believe in african development and i am against all forms of racial discrimination.

Kwenye issues za religion, i have already left there, am in another level!! Religion kwangu ni kama aina ya mfumo wa maisha ya kiazamani...enzi hzooo!!

Wewe kama ni muislamu, nakupo pole sana!!
 
Kwa mtazamo wangu anguko la uchumi nchi za Ulaya unasababishwa na: gharama kubwa za uzalishaji mali kutokana na mishahara mikubwa (high labour cost), gharama kubwa za kuendesha serikali kutokana na kulipa malipo yasiyo na tija (unemployment benefits), ushindani wa masoko ya mali ghafi ulioletwa na India, China na mataifa yanayoinukia, kuwepo kwa madalali wengi katika masoko ya hisa ambao wengi wao ni matapeli na uvivu wa kizazi kipya cha nchi za Ulaya. Katika yote hayo dini haipo kabisa hiyo tumeachiwa sisi ambao kila kukicha tunawaza jinsi ya kumkera jirani yako mnayepishana kwenye imani.
 
Usidanganyike kwamba waislamu wanaweza kuja kuongoza dunia, siyo rahisi hata kidogo. Islam is a very backward religion, vey backward. Matatizo yanayoendelea huko middle east pamoja na kuongezeka kwa ugaidi kutoka kwa waislamu wenye msimamo mkali ni matokeo ya kufail kwa islamism.

The biggest challenge ambayo wamerekani wanaface ni kuhakikisha China na Asia Pacific are smoothly internationilised, kama unaelewa maana ya being internationilised utaelewa na maana gani. Kwa kimantiki tu, nchi hizi za Asia pacific zinatatizo la nationalism zaidi, yaani wao nchi zao pamoja nakuwa na muchumi makubwa, ambao wanaupata pia kutoka nchi nyingine, lakini bado they just want it for themselves. They still want to consider themselves different from the rest of the world, halafu wanachukiana vibaya sana. Technically, this the main challenge kwenye global power balance kwa sasa. Siyo uislamu!

Alafu inabidi kuelewa kwamba as long as US is a super power, Europe will continue to be strong. Pamoja na hayo, sikatai kwamba kuna vinchi huku Europe vitaathirika sana na kukua kwa uchumi Asia Pacific and Africa.

American economy is till very strong and will still continue to thrive. These guys have invested so much on human resource than you can imagine. They have people!!

NARA,
kwani wewe ukitoa comments zako bila kutukana dini za watu utaonekana huna maana au??

sema waislamu wako nyuma lkn usiuweke uislamu ndani?? Mbona Husikii muislamu akitukana ukiristo kwa sababu viongozi wakuu wa makanisa ya ulaya na America wameshtakiwa kwa mamia ya kesi za kulawiti na kunajisi watoto wa kiume??

Ukristo haufundishi ushenzi huo kwa hiyo ya nini kutukana dini kwa kuangalia maasi ya wafuasi,??

Na kwa taarifa yako hao unaowatukuza bila kunyang'anya hao waislamu oil yao basi u super power wao usingeuona
 
Siku Wayahudi watakaposalimu amri kwa Waarabu,ndio hapo mwisho wa Ulaya/Marekani.
Hawa watu wanaona mbali.
 
U.S.A forever boy. iangukie wapi?

katika somo la market kuna kitu kinaitwa product life cycle hii inaonyesha trend ya muda kwa product/company ina yoanzia kwenye idea generation(kuzaliwa kwa product/compuni) na kumilizia katika kupotea kwa product(dieth), hivyo katika kutowa comment, cio kila mchangiaji atakuwa na uwezo wa kufanya analysis of universal sign ikiwemo mtiririko mzima wa kutawala ulimwengu, wapo wana openda sana kitu flani au nchi fulani na hata kama watakuwa wamekosea kutokana na mapenzi yeye atahisi yupo sawa " kila kundi hujiona bora kwa makundi mengine", hivo ukianzia historia ya ufalme wa Waromi mpaka ivi sasa utakuta kuna mataifa mengi yamepita na yamenikiwa kutawala ulimwengu kiuchumi na itikadi, na mpaka muda huu wamagharibi na wamarekani wanatawala ulimwengu kwa kupitia product zao" democracy, economic liberalisation, haki za watoto, haki za binaadamu,haki za ndoa ya jinsia moja, uzazi wa mpango nk" lakina tukupuke kwamba hizi ni product, zitafuata mfumo wa product life cycle zitazaliwa, zitakuwa, zitafikia maturity, zitaanza kupungua/decline na then zitapotea
Hivyo kama Waromi walikuja na kuondoka, Ottman Empare ilikuja na na kuondoka, usossaliest ulikuja na unakaribia kuondoka, ubebari nk vile vile vitaondoka, kipi kitafuata? jibu la suala hili angalia maisha yetu ya kila siku tuchukulie mfano katika fasheni za kuva kila siku zinakuja na kuondoka, lakini feshioni iliopita baada ya muda hivi, unakuta inarejea tena" kamwe jambo jipya halitotokea..."
Conclusion
Amerca na Ulaya wa meshafikia ktika "boom stage" na sasa ivi wapo katika " decline Stage" na baada ya muda watapotea kwani chunguza katika mafanikio ya binaadamu wowote aliefanikiwa kiuchumi kwa mfano akawa tajiri sana basi ataendelea kuwa tajiri yeye na hata kama atakufa basi possibility kubwa watoto wake pia watakuwa matajiri ila (exception) kama atakuwa jeuri, zarau, kujigamba na kupenda sana kumuasi Mungu basi atajikuta atapoteza mali ake na hadhi yake na kama hajafilisika wakati yupo hai watoto wake watafilisi...Hali hii ni dalili kuwa muungu anakoondoshea vile vitu vilikufanya uwe kiburi, zarau nk ili kukufanya uapte mazingatio na kujirekebisha, sasa ukienda kwa Amerka na ulaya wamehalalisha Pombe, Ndoa za jinsia moja, Uchangudoa nk na kuzilazimisha nchi nyengine kuwafuata wao kwa sababu wana fedha, na kujiona bora kuliko mataifa mengine, hivyo tujiulize Muungu (if you Believe) jee amri hizi au matakwa haya anayapenda? na kama sivi basi nilazima wataondoshewa kile kinawapa kiburi, hata kama watu wanao wapenda hawaamini, kumbukeni kwa wale waislamu pale Qaruni ambae anatoka katika wayahudi, watu wa Mistri walipo sema Laiti tungelikuwa kama yeye i.e alikuwa tajiri mkubwa sana , hakika Qarun ana hadhi kubwa, wakasema wale waluamini mumsimuone amefaidi kwani katika kumuasi mungu hutofanikiwa abadaan, nini kilitokea kwa Qaruni? alididimizwa kwenye ardhi yeye na mali zake

kwaio Amerca na Ulaya ni lazma waondeke suala ni yupi atafuatia? lakini mm na bashiri kuwa....
 
NARA,
kwani wewe ukitoa comments zako bila kutukana dini za watu utaonekana huna maana au??

sema waislamu wako nyuma lkn usiuweke uislamu ndani?? Mbona Husikii muislamu akitukana ukiristo kwa sababu viongozi wakuu wa makanisa ya ulaya na America wameshtakiwa kwa mamia ya kesi za kulawiti na kunajisi watoto wa kiume??

Ukristo haufundishi ushenzi huo kwa hiyo ya nini kutukana dini kwa kuangalia maasi ya wafuasi,??

Na kwa taarifa yako hao unaowatukuza bila kunyang'anya hao waislamu oil yao basi u super power wao usingeuona

mawazo yako yanafanana na ya kikwete sana!
 
Siku Ulaya na USA wakianguka, Africa na nchi zote zilizopo ndani ya Ukoloni mamboleo zitakunjua makucha yake na kuanza kukimbia kimaendeleo
 
Back
Top Bottom