Mwisho ama vifo vya Mitume na Manabii wa mwenyezi Mungu

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,105
Uzi huu ni maalumu kuelezea kuhusu mwisho wa maisha ya Mitume na Manabii mbalimbali WA MWENYEZI MUNGU.

Namna walivyo kamilisha safari Yao ya maisha Yao hapa duniani.

Sababu zilizo pelekea vifo vyao.

1. YESHUA AMASHIACH ama YESU. Wakristo watanishambulia Kwa kumuweka katika moja na Manabii na Mitume Kwa sababu Kwa mujibu wa mafundisho ya Ukristo, Yesu ni MUngu

Lakini pili watanishambulia Kwa kumuweka kwenye kundi moja na Manabii ambao mwisho wa maisha Yao hapa duniani ulikuwa ni mauti Kwa sababu mwisho wa maisha ya Yesu hapa duniani haukuwa kifo. Na Kuna UKWELI ndani yake Kwa sababu mwisho wa siku Yesu alifufuka na alipaa Juu MBINGUNI.

Anyway let's assume Jesus was a prophet like any other prophet.

Jina : YESHUA AMASHIACH alias YESU.

CHANZO CHA KIFO: KUSULUBIWA MSALABANI.

After hivyo, he was resurrected 3 days later and ascended to Heaven, so it will be so unfair to say that he died because people who dies are never to be seen again. If he raised from the dead it means he has power over death. So we have to accord him some due respect.


2. PROPHET MUHAMMAD, PEACE BE UPON HIM.

Chanzo cha kifo: KULA CHAKULA CHENYE SUMU. This messenger of God was poisoned by one ZAINAB BINT AL HARITH. Zainab Bint Al Harith alikuwa mwanamke wa kiyahudi. Alikuwa memba WA Jamii ya wayahudi walio kuwa wakiishi Saudia na nchi nyinginezo za kiarabu kama vile Yemeni n.k. And of course her Jewish family migrated to Saudia from Yemen.

Mwanamke huyu alipika nyama ya Mbuzi ( kondoo?) na kwenye nyama hiyo alitia sumu Kali.

Baada ya kufanya tukio hilo haraam na la kisheitwaan na baada ya Prophet na baadhi ya maswahaba wake Kula nyama hiyo, mwanamke huyu aliitwa before the Prophet . Prophet alimuuliza kwanini umefanya hivi na yeye akajibu ametumwa na wayahudi kulipa kisasi huku tukio hilo likitumiwa na wayahudi kupima kama kweli prophet alikuwa Mtume WA Mungu au laa.
Hadith nyingine zinasema prophet alimsamehe mwanamke huyo na nyingine zinasema aliagiza mwanamke huyo awe beheaded.

Maswahaba walio Kula chakula hicho pamoja na Muhammad they died on the spot and the prophet himself died few days later akiwa anapata matibabu nyumbani Kwa bi Aisha ambae alikuwa ni mmoja Kati ya wakeze.

Hadith nyingine zinasema prophet alifariki miaka minne baadae.

3. Nabii MUSSA .

Chanzo cha kifo: NI utata, anae Jua atafafanulie plz.

3. Nabii Joshua
Chanzo cha kifo: Unknown.

4. Nabii Ibrahim.

Chanzo cha kifo: Unknown.

Please wadau fungukeni kuhusu Manabii wengine pia na kama Uzi wangu Una makosa basi nisahihisheni.
 
Kwani YESU naye ni miongoni mwa mitume na manabii?, hebu nieleweshe kidogo.
 
Kwa upande wa Mtume Muhammad kuna masahihisho, kwanza swahaba aliekufa on the spot alikua mmoja tu, pia Prophet mwenyewe aliishi miaka 3 na yeye ile nyama aliitema. Kuhusu sababu ya myahudi kufanya vile alisema alitaka kuutest utume wake, kama kweli ni mtume basi asingeweza kudhuriwa na sumu, na kama angekua anadanganya basi Allah angewasterehesha kwa kufa kwake. Baadae aliuliwa kwa kua na yeye alisababisha kifo cha swahaba ambae jina lake ni Bishrun bin Barraai.
Source: (Bukhari: 4428)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa Mtume Muhammad kuna masahihisho, kwanza swahaba aliekufa on the spot alikua mmoja tu, pia Prophet mwenyewe aliishi miaka 3 na yeye ile nyama aliitema. Kuhusu sababu ya myahudi kufanya vile alisema alitaka kuutest utume wake, kama kweli ni mtume basi asingeweza kudhuriwa na sumu, na kama angekua anadanganya basi Allah angewasterehesha kwa kufa kwake. Baadae aliuliwa kwa kua na yeye alisababisha kifo cha swahaba ambae jina lake ni Bishrun bin Barraai.
Source: (Bukhari: 4428)

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu.
 
Kwa upande wa Mtume Muhammad kuna masahihisho, kwanza swahaba aliekufa on the spot alikua mmoja tu, pia Prophet mwenyewe aliishi miaka 3 na yeye ile nyama aliitema. Kuhusu sababu ya myahudi kufanya vile alisema alitaka kuutest utume wake, kama kweli ni mtume basi asingeweza kudhuriwa na sumu, na kama angekua anadanganya basi Allah angewasterehesha kwa kufa kwake. Baadae aliuliwa kwa kua na yeye alisababisha kifo cha swahaba ambae jina lake ni Bishrun bin Barraai.
Source: (Bukhari: 4428)

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe na aya walivyo mkafini kinyesi tukapige madufu
 
Yesu sio nabii.

KITABU CHA MATHAYO 17:1-27

# YESU ANAGEUKA SURA
# YESU ANAMPONYA MTOTO MWENY PEPO
# YESU ANAONGEA TENA JUU YA KIFO NA UFUFUO WAKE
# KULIPA ZAKA YA HEKALU

Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani; akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru.

Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye. Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka, nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.

Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.

Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana. Yesu akaja, akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope. Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake. Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu ye yote habari ya maono hayo, hata Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.

Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza? Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote, ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka.

Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao. Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji. Nao walipoufikia mkutano, mtu mmoja akamjia, akampigia magoti, akisema, Bwana, umrehemu mwanangu, kwa kuwa ana kifafa, na kuteswa vibaya; maana mara nyingi huanguka motoni, na mara nyingi majini.

Nikamleta kwa wanafunzi wako, wasiweze kumponya. Yesu akajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, kilichopotoka, nitakaa pamoja nanyi hata lini? Nitachukuliana nanyi hata lini? Mleteni huku kwangu. Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile.

Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa? Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.

Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga. Nao walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka. Wakasikitika sana. Hata walipofika Kapernaumu, wale watozao nusu-shekeli walimwendea Petro, wakasema, Je! Mwalimu wenu hatoi nusu-shekeli? Akasema, Hutoa.

Naye alipoingia nyumbani, Yesu alitangulia kumwuliza, akisema, Waonaje, Simoni? Wafalme wa dunia hutwaa kodi ama ushuru kwa watu gani? Kwa wana wao au kwa wageni? Naye aliposema, Kwa wageni, Yesu alimwambia, Basi, kama ni hivyo, wana ni mahuru.

Lakini tusije tukawakwaza, enenda baharini ukatupe ndoana, ukatwae samaki yule azukaye kwanza; na ukifumbua mdomo wake utaona shekeli ichukue hiyo ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako
 
Yesu sio nabii.

KITABU CHA MATHAYO 17:1-27

# YESU ANAGEUKA SURA
# YESU ANAMPONYA MTOTO MWENY PEPO
# YESU ANAONGEA TENA JUU YA KIFO NA UFUFUO WAKE
# KULIPA ZAKA YA HEKALU

Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani; akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru.

Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye. Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka, nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.

Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.

Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana. Yesu akaja, akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope. Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake. Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu ye yote habari ya maono hayo, hata Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.

Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza? Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote, ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka.

Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao. Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji. Nao walipoufikia mkutano, mtu mmoja akamjia, akampigia magoti, akisema, Bwana, umrehemu mwanangu, kwa kuwa ana kifafa, na kuteswa vibaya; maana mara nyingi huanguka motoni, na mara nyingi majini.

Nikamleta kwa wanafunzi wako, wasiweze kumponya. Yesu akajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, kilichopotoka, nitakaa pamoja nanyi hata lini? Nitachukuliana nanyi hata lini? Mleteni huku kwangu. Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile.

Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa? Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.

Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga. Nao walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka. Wakasikitika sana. Hata walipofika Kapernaumu, wale watozao nusu-shekeli walimwendea Petro, wakasema, Je! Mwalimu wenu hatoi nusu-shekeli? Akasema, Hutoa.

Naye alipoingia nyumbani, Yesu alitangulia kumwuliza, akisema, Waonaje, Simoni? Wafalme wa dunia hutwaa kodi ama ushuru kwa watu gani? Kwa wana wao au kwa wageni? Naye aliposema, Kwa wageni, Yesu alimwambia, Basi, kama ni hivyo, wana ni mahuru.

Lakini tusije tukawakwaza, enenda baharini ukatupe ndoana, ukatwae samaki yule azukaye kwanza; na ukifumbua mdomo wake utaona shekeli ichukue hiyo ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako
Yesu Nabii na kitabu alichopewa Injili yenye ujumbe uliotoka Kwa mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa Mtume Muhammad kuna masahihisho, kwanza swahaba aliekufa on the spot alikua mmoja tu, pia Prophet mwenyewe aliishi miaka 3 na yeye ile nyama aliitema. Kuhusu sababu ya myahudi kufanya vile alisema alitaka kuutest utume wake, kama kweli ni mtume basi asingeweza kudhuriwa na sumu, na kama angekua anadanganya basi Allah angewasterehesha kwa kufa kwake. Baadae aliuliwa kwa kua na yeye alisababisha kifo cha swahaba ambae jina lake ni Bishrun bin Barraai.
Source: (Bukhari: 4428)

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
 
Uzi huu ni maalumu kuelezea kuhusu mwisho wa maisha ya Mitume na Manabii mbalimbali WA MWENYEZI MUNGU.

Namna walivyo kamilisha safari Yao ya maisha Yao hapa duniani.

Sababu zilizo pelekea vifo vyao.

1. YESHUA AMASHIACH ama YESU. Wakristo watanishambulia Kwa kumuweka katika moja na Manabii na Mitume Kwa sababu Kwa mujibu wa mafundisho ya Ukristo, Yesu ni MUngu

Lakini pili watanishambulia Kwa kumuweka kwenye kundi moja na Manabii ambao mwisho wa maisha Yao hapa duniani ulikuwa ni mauti Kwa sababu mwisho wa maisha ya Yesu hapa duniani haukuwa kifo. Na Kuna UKWELI ndani yake Kwa sababu mwisho wa siku Yesu alifufuka na alipaa Juu MBINGUNI.

Anyway let's assume Jesus was a prophet like any other prophet.

Jina : YESHUA AMASHIACH alias YESU.

CHANZO CHA KIFO: KUSULUBIWA MSALABANI.

After hivyo, he was resurrected 3 days later and ascended to Heaven, so it will be so unfair to say that he died because people who dies are never to be seen again. If he raised from the dead it means he has power over death. So we have to accord him some due respect.


2. PROPHET MUHAMMAD, PEACE BE UPON HIM.

Chanzo cha kifo: KULA CHAKULA CHENYE SUMU. This messenger of God was poisoned by one ZAINAB BINT AL HARITH. Zainab Bint Al Harith alikuwa mwanamke wa kiyahudi. Alikuwa memba WA Jamii ya wayahudi walio kuwa wakiishi Saudia na nchi nyinginezo za kiarabu kama vile Yemeni n.k. And of course her Jewish family migrated to Saudia from Yemen.

Mwanamke huyu alipika nyama ya Mbuzi ( kondoo?) na kwenye nyama hiyo alitia sumu Kali.

Baada ya kufanya tukio hilo haraam na la kisheitwaan na baada ya Prophet na baadhi ya maswahaba wake Kula nyama hiyo, mwanamke huyu aliitwa before the Prophet . Prophet alimuuliza kwanini umefanya hivi na yeye akajibu ametumwa na wayahudi kulipa kisasi huku tukio hilo likitumiwa na wayahudi kupima kama kweli prophet alikuwa Mtume WA Mungu au laa.
Hadith nyingine zinasema prophet alimsamehe mwanamke huyo na nyingine zinasema aliagiza mwanamke huyo awe beheaded.

Maswahaba walio Kula chakula hicho pamoja na Muhammad they died on the spot and the prophet himself died few days later akiwa anapata matibabu nyumbani Kwa bi Aisha ambae alikuwa ni mmoja Kati ya wakeze.

Hadith nyingine zinasema prophet alifariki miaka minne baadae.

3. Nabii MUSSA .

Chanzo cha kifo: NI utata, anae Jua atafafanulie plz.

3. Nabii Joshua
Chanzo cha kifo: Unknown.

4. Nabii Ibrahim.

Chanzo cha kifo: Unknown.

Please wadau fungukeni kuhusu Manabii wengine pia na kama Uzi wangu Una makosa basi nisahihisheni.
Sasa ilikuwaje Mungu akafa?
 
Manabii wa siku hizi kila siku tunashuhudia vifo mara kuzidisha konyagi mara ajali na taka mwili nyingine kifupi ni matapeli hao kina suguye sijui nan

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Asante Sana mkuu. Umenikumbusha hata Enoch pia alipaishwa
Nabii Eliya alichukuliwa na gari la Moto; Henoko alichukuliwa na mawingu na kupaishwa kwenda mbinguni. Mussa alikufa akazikwa na Mungu, lakini pengine ni siri zake Mungu kwa sababu Yesu alipokuwa pale kilimani akiwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwemo Petro; Petro na wenzake waliwaona Mussa na Eliya wakiwa pamoja na Yesu na hivyo kupelekea Petro kumuomba Yesu wajenge pale vibanda vitatu kimoja cha Yesu na vingine viwili vya Mussa na Eliya.

Chances ni kwamba Mussa alichukuliwa na Mungu akapelekwa mbinguni. Hata hivyo, kitendo cha kuchukuliwa na Mungu kutoka hapa duniani na kupelekwa kwenye ulimwengu mwingine, whether amekucuhukua ukiwa hai au umekufa, lazima kihesabike kuwa ni kifo
 
Yesu Nabii na kitabu alichopewa Injili yenye ujumbe uliotoka Kwa mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
YESU NI ZAIDI YA NABII.YEYE HUTUMA MANABII

Mt 23:34 SUV​

Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulibisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji
 
Back
Top Bottom