Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Wadau,nasikitika serikali kukamata watu wasio na hatia na kuwaacha wafanya fujo kufaidi mema ya nchi kwa kile kinachodaiwa ni 'lugha ya uchochezi'.
Mtume huyu wa Mungu wa kweli amekumbwa na dhahama hiyo akiwa katika semina huko Maswa cha ajabu polisi inamshikilia.Serikali ya ccm hivi lugha ya uchochezi ni ipi?AU ni hii ya UA ASKOFU UA KADINALI?Watu kama akina Shehe Ilunga,ponda,basalehe,kundecha nk wametoa lugha za uchochezi hawajakamatwa.Au kwa sababu kitengo cha Qur'an kipo chini ya ofisi ya makamu wa Rais ambayo hajawahi kupewa Mkristo?Kwenu wapenda amani:2015 msiirudishe ccm madarakani kwani sera zake zimeharibu nchi.Mwinjilisti Ndimbo,pole MUNGU WA KWELI ATAKUTETEA,
Mtume huyu wa Mungu wa kweli amekumbwa na dhahama hiyo akiwa katika semina huko Maswa cha ajabu polisi inamshikilia.Serikali ya ccm hivi lugha ya uchochezi ni ipi?AU ni hii ya UA ASKOFU UA KADINALI?Watu kama akina Shehe Ilunga,ponda,basalehe,kundecha nk wametoa lugha za uchochezi hawajakamatwa.Au kwa sababu kitengo cha Qur'an kipo chini ya ofisi ya makamu wa Rais ambayo hajawahi kupewa Mkristo?Kwenu wapenda amani:2015 msiirudishe ccm madarakani kwani sera zake zimeharibu nchi.Mwinjilisti Ndimbo,pole MUNGU WA KWELI ATAKUTETEA,