Mwinjilisti Damian Ndimbo wa Biblia ni jibu akamatwa na polisi

Kama amesema maneno ya uchochezi, acha Sheria ichukue mkondo wake. Shehe Ponda, Wahaziri, Dibagula nk wengi huwa wanakamatwa kwa sababu za uchochezi na hata huyo Ilunga bado anatafutwa na Polisi. Kuacha watu kuaribu amani kwa kusingizia au kwa kushabikia dini ujue mwisho wake ni mbaya sana. Sisi wafuasi wa hawa viongozi ndio tuwe makini tusione kama hawa watu ni Malaika na ingekua vizuri kueleza maneno aliyoyasema sio kufananisha tu.

Ilunga mbona alikuwa anapatikana kabla ya mauti kumfika!
 
Wakawakamate Na Wale Wanaotoa Kashifa Dhidi Ya Ukristo Pale Manzese Nachukizwa Na Maneno Yao Dhidi Ya Ukristo. ITAFIKA MAHALI TUTAHESHIMIANA.POLISI WANAJIFANYA HAWAWAONI HAO WAISLAM PALE MANZESE IPO SIKU TUTAENDA KWA NGUVU KUKISAMBARATISHA KIKUNDI HICHO CHA KIHUNI KINACHOLINDWA NA POLISI.
 
Nilishawahi kukuomba unipe andiko ya kwamba uislam utakua dini ya Dunia ktk mada Fulani haukutoa majibu na Leo umerudia tena Hichi kitu!

Lete ushahidi Wa maandiko na si maneno tu!

Usihangaike naye. Biblia iko wazi kuwa utukufu wa mwisho utakuwa mkuu kuliko ile wa mwanzo. Mwenye masikio na asikie.
 
Hapa Tanga mjini kwenye viwanja vya Tangamano almost kila mwezi Wana mihadhara wa kiislam wa kukashfu ukristo wanapiga kambi kwa wiki moja au zaidi kwa maspika makubwa na hawabugudhiwi na yeyote. Nahisi taasisi za ulinzi na usalama za mkoa na wilaya hapa Tanga mjini zinanufaika na mhadhara huu. Pia pale keep-left ya mabanda ya papa, kila jioni kuna jamaa hutoa video nje na kuweka mahubiri ya uchochezi.

Biblia inatuagiza kuwaombea wanaotuudhi na kuwabariki wanaotulaani. Bwana Yesu alisema wasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo. Hao nao hawajui walitendalo kwani kama ni kuhubiri dini wangehubiri uzuri wa imani yao na siyo kukashifu imani nyingine.
 
Polisi hawana dogo, lakini pia hatujui wamemshikilia kwa sababu gani huenda kanasa maana ni binadamu pia. Ikiwa Yesu Kristo alicharazwa na walewale wanaohitaji ukombozi wake, itakuwaje Mwinjilisti ambaye ni mfuasi wa Yesu Kristo? Kama wanautenda mti mbichi watakavyo, je, mti mkavu inakuwaje? Mitume wengi sana wa Yesu Kristo waliishia kuteswa sana hadi kufa, na hiyo ni ishara kwamba binadamu hana wema usimwone kucheka. Wema unatoka kwa Mungu tu! Nilipokuwwa napita pale mwenge juzi kushinda jana, nilisikia mhadhara wa kiislam ambao upo kila siku jioni pale. Mhubiri alisikika kwa kipaza sauti kwamba "Hakuna mtume kumzidi Mohammad, aliweza hata kumsilimisha shetani na kumfanya awe ndugu yetu lakini Yesu alishindwa hilo" Nikabaki kinywa wazi.......kumbe Shetani ni mwislamu?

Duh, you made my day
 
Wakawakamate Na Wale Wanaotoa Kashifa Dhidi Ya Ukristo Pale Manzese Nachukizwa Na Maneno Yao Dhidi Ya Ukristo. ITAFIKA MAHALI TUTAHESHIMIANA.POLISI WANAJIFANYA HAWAWAONI HAO WAISLAM PALE MANZESE IPO SIKU TUTAENDA KWA NGUVU KUKISAMBARATISHA KIKUNDI HICHO CHA KIHUNI KINACHOLINDWA NA POLISI.

pole mkuu nakuelewa. nadhani kuna kipindi mihadhara ilikatazwa lakini imerudi tena kwa nguvu
 
Back
Top Bottom