True hata watesi wetu na wasiojulikana nao ipo siku wataiacha dunia, ila kabla ya kuicha watapewa stahiki yao.Kifo ni sherehe kubwa ya mwisho, wanakijiji wamepata fursa ya kuwaona wasanii wa kibongo.Angezikwa kinondoni wangewaonea wapi.?Da RIP Aggy ulikuwa mtu wa watu,wengi tumehuzunika lkn Mola kakupenda zaidi.Dunia tambara bovu, tutaiacha. Rest in peace MASOGANGE