Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' wawasili Mbeya tayari kwa mazishi

Kwetu siyo Tabora/Rukwa na wala mimi siyo mfipa. Mimi siishi huko unakodhani, nimeuliza sisi tusio na vyama tutazikwaje wewe unakuja na mambo ya ufipa. Nani kaenda Rukwa au ndo unakoishi?

Hahahahahaha hahahahahaha, lugha gongana
 
He he he he
watu wameenda kuleta ukada mpaka kwenye msiba, wakati akiwa hai hawakumpa hata mia ya panadol???
Kweli maisha haya bila unafiki hayaendi.

screenshot_2018-04-23-13-14-30-1-jpg.754228
Hapana Mkuu wako sahihi, wametusaidia kujua uahiriki wa UVCCM kama wasafirishajiwa Ngada!
 
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
kwa namna ya pekee kabisa nawapa pole UVCCM na Green Guard kwa kufiwa na mwenzenu Agnes Masogange.

Awali niliwapa pole wasanii tu nikawasahau ninyi nduguze muhimu. Nimetambua uwepo wenu hususani Mbalizi Mbeya ambapo vijana wa Green Guard waliokuwa wamevalia kijani walibeba jeneza kwa huzuni kubwa.

Najua wengine mlimkana enzi akiwa na tuhuma za madawa ya kulevya mkisema UVCCM hawawezi hata kutuhumiwa lakini walau mmeikubali maiti yake.

Poleni sana Green Mamba...sorry I mean Green Guard kwa kuulinda vyema na kuusitiri mwili wa dada yetu.

Sisi vijana wa Mbeya tumewapenda kwa moyo huo ila upendo wetu kwenu si kama tumpendavyo Sugu our genius hustler.

Mungu awabariki!




jamaaa mshiba wa aibu umekata kabisa yani nimecheka kama mazuri
 
Kwetu siyo Tabora/Rukwa na wala mimi siyo mfipa. Mimi siishi huko unakodhani, nimeuliza sisi tusio na vyama tutazikwaje wewe unakuja na mambo ya ufipa. Nani kaenda Rukwa au ndo unakoishi?
Wewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingine
 
Majizi CCM yanatumia fursa vizuri msibani, ila cha muhimu yakae mbali na rambirambi tu
 
Wewe nawe naona ni mgeni jf! Ufipa maana yake chadema,makao makuu ya chadema yapo kinondoni mtaa wa ufipa ndio maana wanawaita ufipa,na ccm japo makao makuu yapo dodoma ila ofisi ndogo zipo kariakoo mtaa wa lumumba ndio maana wanaitwa lumumba fc a.k.a buku 7 mfano wa lumumba fc buku 7 ni kama vile barbarosa,rutashobollwa,coco chanel na takataka nyingine

Mkuu unamtafuta coco wa watu hahahahahaha, atakuja na broken yake ya kimaandishi hapa usimuelewe ngoja nikae pembeni hahahaha.
 
Shigongo sasa anazidi kutengeneza pesa na gazeti lake la udaku,huu mwezi tutazidi kupata series za Masogange
 
Back
Top Bottom