Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Hello Ndugu zanguni , naombeni msaada wenu waungwana wangu. Nina tatizo kwenye miguu kila ninaporuka kidogo tu kukwepa dimbwi la maji au kamtaro kidogo tuu, miguu inakuwa kama.
Inaogopa vile na kukosa nguvu kabisa, hata kama nashuka ngazi au kupanda nakosa balance kabisa , naombeni msaada wenu please, nitumie supplement zipi wakuu?
Inaogopa vile na kukosa nguvu kabisa, hata kama nashuka ngazi au kupanda nakosa balance kabisa , naombeni msaada wenu please, nitumie supplement zipi wakuu?