Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,744
- 1,778
Krinka ndio nn sasa...
Huyu Mzee inamaana maisha bila uwaziri hayawezi? Mbona sisi huku wanatushauri tujiajiri sasa yeye kujiajiri anaona ishu..
Mkuu mtu akiwa mkweli kuwa anapenda kazi yake imekuwa shida.hahahaaa