Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 26,299
- 39,635
Ni kama ilivyokuwa kwa Philip Mpango.Hatujazoea kutokumuona muda mrefu hivi?
Hawana maigizo mapya
Ni kama ilivyokuwa kwa Philip Mpango.Hatujazoea kutokumuona muda mrefu hivi?
kwenye mikutano yake WANANCHI wenye akili walikuwa wakimuangalia kama nyanya mbichi,Pumzi imekata mapema sana. Alidhani atapata umaarufu waharaka.
We jamaa wewe!Nimekuelewa kibenten wa Gudila.