DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanaharakati walijipanga kuhamasisha vurugu Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kuharibu uchaguzi mkuu ili wasipatikane viongozi na kutoa nafasi ya maandamano ya kudai viongozi wapya kwa maandamano.
Akiongea na wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Nchemba amesema kila anayedai haki anapaswa kujua wajibu wake badala ya kupelekeshwa na watu wasioipenda nchi yao na kuwagawa kwa maslahi ya watu wachache.
Akiongea na wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Nchemba amesema kila anayedai haki anapaswa kujua wajibu wake badala ya kupelekeshwa na watu wasioipenda nchi yao na kuwagawa kwa maslahi ya watu wachache.