Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dr. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu Nchemba,

-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.

-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business

-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?

-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi

-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.

-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita.

Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi

Mwigulu,Look at you.!

Ben sio mara yangu ya kwanza kufafanua hili. Siku nilipoiona tu niliandika humu na fb kuwa hiyo sio e mail yangu na wala sijawahi kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa e mail. Hapa nimeongelea ya kuwa umeitwa polisi of which nisingeongea kabla hujaitwa. Hizo siasa za kiwango cha chini mno.
 
Last edited by a moderator:
chadema wamebakiza vurugu tu wamempalamia zitto kawashinda sasa wanaanza kutunga mambo ya uongo ili kuficha makovu yao.


""
Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " >
To: "Emmanuel Nchimbi" < nchimbie@yahoo.com >

On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na zzk. mh. Lukuvi namtafuta punde

MN

2013/11/17 Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma

Sent from my ipad

On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, Mwigulu Nchemba wrote:

Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa zzk abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni

MN
 
Nchimbi ndiye alikuwa waziri wa mambo ya ndani? kama siamini vile. Hivi Kikwete anatumia vigezo gani kuwapa watu wa aina hii madaraka!!!
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

pole sana,ndio siasa zilivyo tena siasa za Kiafrika,watu wapo radhi hata kukuwekea meno ya tembo mlangoni,ilimradi tu upatikane na hatia.
kwa technolojia ya sasa,swala la kutengeneza email na mambo mengine ni jambo rahisi sana,cha msingi ni viongozi kuwa makini.
Haya yote yanamwisho wake,tusubiri tuone mwisho wa siku polisi watatueleza nini juu ya uchunguzi wao
 
Hata mimi nimeshtuka na kushangaa inawezekanaje mpange mipango miovu iliyopelekea kuondoka kwa dr Mvungi halafu mjipeleke wenyewe polisi kisa mmegundulika? Inashangaza lakini kwenye siasa kulla kitu inawezekana. Ila kiukweli hizi siasa za kucheza na maisha ya watu zinaudhi sana. Familia ya Mvungi inachukuliaje tuhuma hizi na je waliotengeza hizo iff did it watakuwa na aibu gani mbele ya wanafamilia? Tunajitambue na kufanya mambo kwa kufikiri.

Kifo hicho cha Mvungi mimi nilikuwa bado kwenye dimbwi la mawazo bila kupata mwangaza, sasa kumbe nuru imeshaanza kupenyeza na pia nilikuwa sijavipatia vizuri vipengere kadhaa katika ile hacked email, sasa naona kunapambazuka na mwanga kwa mbali unajitokeza alfajiri mapema kabla ya jua kuchomoza.
2013/11/17 Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma
 
Mwigulu ............... Waziri mtarajiwa wa baraza lijalo!!!! Bongo, hatuishiwagi matukio!!
 
Niliwahi kusema kwamba Mchemba is an IDIOT. Kama ni kweli Ben kasuka hizo e-mail why not take him to court???

mnapenda sana kesi,hizo gharama za kesi si bola ukachimbie kisima kuliko kuzitumia kumpeleka mtu mahakamani?
 
Mwigulu Nchemba,

-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.

-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business

-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?

-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi

-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.

-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita maana lengo la kuanzisha thread kwa kufanya Copy and Paste ya kilichokua kinazunguka ni kuhakikisha wahusika ambao majina yanayofanana na ya Nchimbi na Mwigulu walitakiwa kutoa ufafanuzi na wewe ulikua online.Thread ilianzishwa at 13:51 na kisha masaa matatu baadae nikaona kimya kimezidi nikakutumia SMS wewe na Nchimbi ambao majina yanayofanana na yenu yalihusishwa .Niliwatumia SMS masaa 3 baadae exactly.Nitaiweka hapa na hata polisi niliwaonyesha kwa kuwa bado ipo ndani ya simu yangu na nilishaichapisha

Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi

Mwigulu,Look at you.!

SMS niliyotuma ni hii

" Hon'ble Nchimbi,

Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.

Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane

CC:Mwigulu '"

Mods naomba mpandishe majibu yangu

Invisible, Fang, Paw, PainKiller

Amani kwako kamanda, sheria ya Musa i hai
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini umeamua kujibu sasa hivi?maana wakubwa wanasema kama uliona haja ya kujibu basi ni boraungejibu mapema ila ukikaa sana ujue kua ulikua unajipanga jinsi gani ya kupangua hoja na Kama uliamua kuongea then ungeongea mapemna kama ulipanga ukae kimya then ungekaa kimya na si kuja kuongea leo.

Mwigulu samahani kwa hili swali ila mbona muda mwingine Bungeni ni kuonda tu upinzani badala ya kutoa hoja ya kujenga au unadhan watanzania tunafurahia mipasho???Tuko katika hali ngumu ya maisha na ndo mana tunawaomba viongoz mtuwakilishe ipasavyo na mnatuumiza kwa hoja za kimajungu zisizojenga na mkifika kwa mkubwa mnamchekea tu bila kumwambia kua waTanzania tuko katika hali mbaya mana hata mtoto mdogo sasa hivi anajua tuko katika hali mbaya kasoro nyie wakubwa.

Tanzania ni nchi na si fammilia ya CCM wala CHADEMA so usifanye maamuzi kama unavofanya katika familia yako ndo ukayaleta kuongoza Tanzania mana Misri,Tunisia,Libya watu walichoka na ndo mana nchi ikaharibika,tuipende na kuiheshimu nchi yetu na nkisema tuipende ni kukemea mambo yote maovu ya nchi hii.
 
Na ule mtambo wa kutuma sms feki aliuleta nani?
na bomu la arusha soweto si ni wewe umeua watu wasio na hatia?
Kuna damu ya Watanzania mikononi mwako wewe hapo Mwigulu Nchemba na utalipwa hapa hapa duniani?
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Mwingulu umechelewa sana kujibu hili muda mrefu na hatuna budi kuamini kwa nini ujitokeze leo kujibu baada ya watu kuhojiwa?Hukuona hizo msg tangu awali au ulikuwa unasoma upepo kwanza? Na kwa nini sasa baada ya Nchimbi kupigwa chini?Hivi mtu hawezi kuwa na email addres hata zaidi ya tano? Hivi leo hii polisi wana uwezo wa kuwa walalamikaji kama hakuna aliyeto taarifa za kulalamika mawasiliano kuingiliwa? Wamejuaje yameingiliwa bila wewe ua Nchimbi kulalamika?Ya Kapuya walisema hakuna mlalamikaji.Iweje Polisi wawe walalamikaji?Nakuwasilishia
Hivi kuna deadlines za kukanusha enh? Kama siyo akili ndogo ni kitu gani.
 
Ni upuuzi kuamini utetezi hu wa mwigulu usubiri kwenda ICC kujibu uharamia wako kama ulivyo wa tokomeza
 
Mwigulu Nchemba,

-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.

-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business

-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?

-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi

-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.

-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita maana lengo la kuanzisha thread kwa kufanya Copy and Paste ya kilichokua kinazunguka ni kuhakikisha wahusika ambao majina yanayofanana na ya Nchimbi na Mwigulu walitakiwa kutoa ufafanuzi na wewe ulikua online.Thread ilianzishwa at 13:51 na kisha masaa matatu baadae nikaona kimya kimezidi nikakutumia SMS wewe na Nchimbi ambao majina yanayofanana na yenu yalihusishwa .Niliwatumia SMS masaa 3 baadae exactly.Nitaiweka hapa na hata polisi niliwaonyesha kwa kuwa bado ipo ndani ya simu yangu na nilishaichapisha

Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi

Mwigulu,Look at you.!

SMS niliyotuma ni hii

" Hon'ble Nchimbi,

Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.

Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane

CC:Mwigulu '"

Mods naomba mpandishe majibu yangu

Invisible, Fang, Paw, PainKiller

unajipendekeza kwa mods wapandishe huu uchafu wako wa nini?

1.kumbe una vijana wenye njaa ambao unawatumia kujipa majina ya watu halafu unawaelekeza wachafue watu?
2. kwanini wewe una sifa za mauwaji, sumu na hila?
3. vyeti vya degree ulizosoma kwanini havikusaidii?? au ulisomea umbea na uuwaji??
 
Ben sio mara yangu ya kwanza kufafanua hili. Siku nilipoiona tu niliandika humu na fb kuwa hiyo sio e mail yangu na wala sijawahi kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa e mail. Hapa nimeongelea ya kuwa umeitwa polisi of which nisingeongea kabla hujaitwa. Hizo siasa za kiwango cha chini mno.

View attachment 128467
Kazi ndogo sana hiyo Mwigulu Nchemba, network ya yahoo ni ya wamarekani, utaalamu wa kubaini mbivu na mbichi viashiria vya email hiyo tuwaambie FBI hapo utaomba dunia ifunuke ikufiche, unacheze watanzania wakati mitandao tutumiayo server iko kwao wamarekani usikoweza kutia pua yako, watakuhakikishia hata chombo kilichotumiaka katika mawasiliano kinamilikiwa na nani. Unachezea usichokijua wa walioendelea katika tekinolijia.
 
Mwigulu michango yako bungeni inatuboa sana watanzania we unafikiri wa Tanzania wote ni wana CCM na CHADEMA tu? wengi hatuna vyama michango yako ya kuponda upizani tu badala ya kujenga hoja zinazowagusa wa Tanzania wote we unang`ang`ana na upinzani jirekebishe.
Cha ajabu anaongelea uzinzi wa wenzake wakati yeye uzinzi mpaka kwa wanafunzi anao wasomesha wala hauoni! shaitwan wa kijani!
 
Back
Top Bottom