Mwigulu: Serikali haitavumilia watendaji wasio wajibika wanaofanya kazi kwa mazoea au ujanjaujanja

Mwigulu: Serikali haitavumilia watendaji wasio wajibika wanaofanya kazi kwa mazoea au ujanjaujanja

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
 
LAMECK MADELU NCHEMBA aka CHARLIE CHZPLIN WA KIZAZI hiki
 
Kwani huyo ni waziri wa wapi mm km mtanzania sina waziri mkuu.Mwambie yy kwanza aache janjajanja na alie mchagua ...wasituone tumenyamaza wakaona wameshinda sisi sio mafala
 
Mtazamo wangu kuhusu Mtoa hoja.

Bro MWIGULU hana AURA ya kiuongozi, hasa nafasi ya Uwaziri Mkuu.

Namuona hana ile Sauti ya MAMLAKA anapozungumza. Yaani hata akipiga Mkwara inaonekana kama anachekesha au anatania.

Nafikiri wanaohusika na kuwafunza VIONGOZI, waone namna ya kumsaidia iwapo ni jambo linaweza fundishika.

Vile vile namuona anazungumza sana, camera nyingi, maneno mengi, porojo nyingi, so hata akija kuzungumza jambo serious, watu wanamchukulia poa.

Anyways, ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Mtazamo wangu kuhusu Mtoa hoja.

Bro MWIGULU hana AURA ya kiuongozi, hasa nafasi ya Uwaziri Mkuu.

Namuona hana ile Sauti ya MAMLAKA anapozungumza. Yaani hata akipiga Mkwara inaonekana kama anachekesha au anatania.

Nafikiri wanaohusika na kuwafunza VIONGOZI, waone namna ya kumsaidia iwapo ni jambo linaweza fundishika.

Vile vile namuona anazungumza sana, camera nyingi, maneno mengi, porojo nyingi, so hata akija kuzungumza jambo serious, watu wanamchukulia poa.

Anyways, ale kwa urefu wa kamba yake.

Anacho kiongea hawezi kukiishi, Kuna kiongozi Hapo?
 
Kwani huyo ni waziri wa wapi mm km mtanzania sina waziri mkuu.Mwambie yy kwanza aache janjajanja na alie mchagua ...wasituone tumenyamaza wakaona wameshinda sisi sio mafala
Wewe kama mtanzania uliyeamua kususia shughuli za kisiasa huna waziri mkuu sisi tunashiriki kila hatua shughuli za kisiasa tunaye waziri mkuu ni huyo Mwigulu Nchemba.

Hatuwezi kuishi kwa kususasusa kijinga tu, mkiamua kukaa mbali na mfumo unaoendesha nchi msidhani kwamba wote tuna akili za kwenu, hakuna kitu kama hicho.

Nyinyi suseni maisha yanabaki yakiendelea kama kawaida.
 
Back
Top Bottom