Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,930
- 4,409
Jamani naomba niwashauri tena wana~CHADEMA. Achaneni na UKUTA... Mtavunjwa miguu bure... Haya sasa Rais alishatoa onyo, na sasa waziri wa mambo ya ndani katoa onyo tena...
Mytake: Viongozi wa CHADEMA tarehe moja mtangulize watoto wenu na ndugu zetu, sio kutanguliza watoto wa masikini.
Mytake: Viongozi wa CHADEMA tarehe moja mtangulize watoto wenu na ndugu zetu, sio kutanguliza watoto wa masikini.