Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,510
- 18,210
Inaonekana mganga wa Mwigulu Nchemba Madelu amemuambia kuwa ili Jiwe amkumbuke kwenye uteuzi basi awe anajibu twitter posts za Zitto Kabwe bila kushirikisha ubongo wake.
Waswahili wanasema kutembelea nyota. Kwa zaidi ya miezi mitatu nimemfuatilia huyu Mwigulu Nchemba ambaye ni mbunge wa Iramba nimegundua kuwa yeye binafsi hana mawazo yake, ila anasubiri Zitto Kabwe a-post ndipo aharishe utumbo wake. Halafu Mwigulu huchukua kalamu nyekundu na kupiga mkasi kwenye post ya Zitto kisha kuiandikia pumba zake kidogo.
Ila followers wa Twitter wamekuwa wanamdharau sana. Nimeileta humu kwa vile yeye humu yuko verified. Nataka nimuambie kuwa pamoja na PhD yake ya "kuokoteza" hawezi kuifikia intellectualism ya Zitto na mvuto na uwezo wa kujenga hoja na uthubutu wa Zitto Kabwe. Leave Zitto Kabwe alone, he is not your class.
Waswahili wanasema kutembelea nyota. Kwa zaidi ya miezi mitatu nimemfuatilia huyu Mwigulu Nchemba ambaye ni mbunge wa Iramba nimegundua kuwa yeye binafsi hana mawazo yake, ila anasubiri Zitto Kabwe a-post ndipo aharishe utumbo wake. Halafu Mwigulu huchukua kalamu nyekundu na kupiga mkasi kwenye post ya Zitto kisha kuiandikia pumba zake kidogo.
Ila followers wa Twitter wamekuwa wanamdharau sana. Nimeileta humu kwa vile yeye humu yuko verified. Nataka nimuambie kuwa pamoja na PhD yake ya "kuokoteza" hawezi kuifikia intellectualism ya Zitto na mvuto na uwezo wa kujenga hoja na uthubutu wa Zitto Kabwe. Leave Zitto Kabwe alone, he is not your class.