Mwigulu Nchemba yupo wapi?

Mwigulu Nchemba yupo wapi?

Status
Not open for further replies.

Elineema Mosi

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
255
Reaction score
72
ndugu wana jf. Jina langu mimi ni Elineema Mosi. kuna mambo mengi sana kuhusu sintofahamu ya kupotea kwa Mh Mwigulu Mchemba hadi kupelekea wengine kuzusha mengi? kwakuwa yeye ni member naomba aje hapa ili tujue ukweli wa mambo?
 
Ameenda kuficha sura yake, hiyo aibu ya CD yake, ameenda kwa ibilisi kutoa ushahidi wake wa hiyo CD ya Bukoba boy baada ya mahakama kuumbua nia yake ya kishetani...akija na CD part II, maccm mengine ni hasara hata kukutana nayo njiani, hata msipoongea...kuliona tu,tayari linakuharibia siku!....
 
ndugu wana jf. Jina langu mimi ni Elineema Mosi. kuna mambo mengi sana kuhusu sintofahamu ya kupotea kwa Mh Mwigulu Mchemba hadi kupelekea wengine kuzusha mengi? kwakuwa yeye ni member naomba aje hapa ili tujue ukweli wa mambo?

1. Umesema kuna mambo mengi sana kuhusu kupotea kwa Mwigulu! Taja machache basi
2. Unadai wengine wamezusha mengi! Taja angalua machache waliyozusha.
3. Unataka aje afanye nini wakati hujaeleweka unataka nini?
 
1. Umesema kuna mambo mengi sana kuhusu kupotea kwa Mwigulu! Taja machache basi
2. Unadai wengine wamezusha mengi! Taja angalua machache waliyozusha.
3. Unataka aje afanye nini wakati hujaeleweka unataka nini?
hoja za kimburula
 
1. Umesema kuna mambo mengi sana kuhusu kupotea kwa Mwigulu! Taja machache basi
2. Unadai wengine wamezusha mengi! Taja angalua machache waliyozusha.
3. Unataka aje afanye nini wakati hujaeleweka unataka nini?

Kaka namtaka aje hapa mwenyewe. Wakati anenda jeshini alituaga hvyo kwakuwa yeye ni member mwache aje mwenyewe hapa atuondolee hii sintofahamu,labda wanamzushia mengine ila la Lwakatare ni kweli alipanga mambo ya kishetani hivyo aje aombe radhi hapa jamvini.
 
mh mwigulu yupo denmark. amekwenda kimkakati zaidi
 
Kaka namtaka aje hapa mwenyewe. Wakati anenda jeshini alituaga hvyo kwakuwa yeye ni member mwache aje mwenyewe hapa atuondolee hii sintofahamu,labda wanamzushia mengine ila la Lwakatare ni kweli alipanga mambo ya kishetani hivyo aje aombe radhi hapa jamvini.

atakuja akirudi. kwa sasa mwache awajibike katika masuala ya msingi na si majungu
 
mganga!.jpg
 
Nahisi yupo kujipanga namna ya kutengeneza movie ya kumbana IT expert wa tigo anavoisaidia chadema kupata mawasiliano yake ya siri na mamluki wenzie.
 
Kweli? au amekwenda kuangalia kamtambo kangine ka kurudufu msg ama?.

A lie has speed,but truth has endurance
sina hakika mkuu, ila nijuavyo mie ni kuwa kuna mwaliko wa kichama uliletwa toka kwa mtawala wa nchi hiyo. akitoka huko ataelekea sweden na mwisho atamalizia ufaransa. yote ni mialiko ya kimkakati zaidi.
 
ndugu wana jf. Jina langu mimi ni Elineema Mosi. kuna mambo mengi sana kuhusu sintofahamu ya kupotea kwa Mh Mwigulu Mchemba hadi kupelekea wengine kuzusha mengi? kwakuwa yeye ni member naomba aje hapa ili tujue ukweli wa mambo?
Kama sijakosea unamuulizia yule Director mashuuli wa filamu za kigaidi.

Kama ni huyo usiangaike hawezi kuonekana sasa hivi anatafakari gharama ya filamu ya Lwakatare na mauzo yake kama vimemlipa au la!.

Na tusubirie fulamu mpya atakuwa yuko anaipika tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom