Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Sabrina Sungura amewalipua viongozi Waandamizi wa CCM...Mwigulu Nchemba (Mb) na Wilson Mukama. Nchemba ametajwa kwamba kila kampeni za uchaguzi mdogo alizosimamia (Arumeru na Igunga) kulitokea Mauaji tofauti na chaguzi za awali kama Tunduru, Busanda, Biharamulo na Mbeya (V). Wilson Mukama ametajwa kwa kitendo chake cha kukituhumu Chadema kuingiza Makomandoo toka Afghanstan lakini mpaka leo hii hajachukuliwa hatua zozote...Hata hivyo kama ilivyotarajiwa Spika Anna Samahani Anne Makinda ameingilia kati