specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,141
- 617
Kwa hili nampongeza. Huwez kuamini mwezi huu fedha tarehe 19, tayari ishaingizwa moja kwa moja kutoka hazina na siyo utumishi tena! Hapa namkubali jamaa ni jembe. Hata hivyo nampongeza tu kama mtu neutral mwenye fikra huru na nitampongeza yeyote bila kujali ni wa mrengo gani. Big up mh Nchemba, kwa hapa nakupongeza.
Ahaaaaahaah!!Hvi huwa mnalipwa sh.ngapi na hawa mnaokesha mkiwasifia....eti tarehe 19 mshahara umeingizwa...umeingzwa kwako labda ila sisi tunaofanya kaz serikalini tunajua nini kinaendelea