Mnyika hana lolote,uchaga unamuwasha tu yule.
Kwanini asiulizwe Mwita Mwikabe aliyeua.?
Mtu anakuchokoza we umetulia tu, anakugusa jicho bado umetulia tu. Akikuingizia kidole kwenye t.a.k.o lazima uta re-act mkuu tuache kupotosha. Kwa mauaji na vurugu za Ndago wa kulaumiwa ni Polisi, CCM na Mwigulu LM Nchemba.
mwigulu anawapeleka puta mpaka mkome wehu nyie,mnajifanya wajuaji sana nyie,moshi imewashinda,arusha imewashinda mtaiweza singida?watu wa singida sio wajinga na mtazidi kuaibika mangi wakubwa nyie
Mnyika hana lolote,uchaga unamuwasha tu yule.
Juzi apa mmesababisha mgomo wa mabasi moshi kwa uchaga wenu leo mnajifanya mwaenda iramba na bado ndoa hamziwezi nchi mtaiweza?
Juzi apa mmesababisha mgomo wa mabasi moshi kwa uchaga wenu leo mnajifanya mwaenda iramba na bado ndoa hamziwezi nchi mtaiweza?
hili halina ubishi chadema wameua mwanairamba, wamekwenda iramba kwa ajili ya hasira baada ya mbunge wa iramba kuwaumbua kuhusu bajeti aliyoichana na kuitupa kuwa ilikuwa takataka na kuwaumbua ukabila kuwa wanakaa bungen kama sebulen kama wako kwenye kikao cha uko; pia na gari alilochukua kiongoz wa kambi ya upinzan kinyemela
Aje atuambie kwa nini ananunua vijana kufanya vurugu, wanyiramba tunapenda amani.......kwa amani tuliwaachia wakurya Mara yao tukapata place kuzunguka Mlima Sekenke ili tubaki na amani yetu......leo hii wapuuzi wachache wanatuvuruga, hatujavuna vizuri mwaka huu, mafuta yetu ya alizeti hayana soko tunapanga barabarani, leo hii wa kutupigania anatupiganisha....ulaaniwe Mwigulu na washirika wako
Mods wengine ni watu wazima sasa kila post kusoma matusi nadhani si hadhi yetu .Huyu kijana kwa matusi haya maana Chadema hawaungwi mkono na wachaga pekee hata sisi Iringa gadi Mbeya tuko Chadema sasa si haki ninaomba afungiwe huyu kwa miezi 5
Mzee wa disko joker ie mwenyekiti alikuwepo?au yuko bilicanas kukusanya mauzo ya pombe,
Nyie wachaga mnaenda kuua watu singida kwa uroho wenu wa madaraka ee ,sasa mtakiona cha mtema kuni wafu nyie,huyo madevu mwita lazima anyee debe
kauri zako zinanikumbusha kichaa mmoja hapa JF akiitwa Maralia Sugu,a.k.a MS na shangazi yake Faiza Fox.Kwanini asiulizwe Mwita Mwikabe aliyeua.?
Kesi ya slaa kutelekeza mke na familia imefikia wapi?yule mzee anazeeka vibaya.