Jimboni kwako yametokea maafa yaliyosababishwa na vurugu za kisiasa, tupe kauli yako tafadhali, njoo hapa jamvini tujadili!!!
Poleni wanairamba magharibi kwa msiba uliwafika. RIP marehem.
Aje atuambie kwa nini ananunua vijana kufanya vurugu, wanyiramba tunapenda amani.......kwa amani tuliwaachia wakurya Mara yao tukapata place kuzunguka Mlima Sekenke ili tubaki na amani yetu......leo hii wapuuzi wachache wanatuvuruga, hatujavuna vizuri mwaka huu, mafuta yetu ya alizeti hayana soko tunapanga barabarani, leo hii wa kutupigania anatupiganisha....ulaaniwe Mwigulu na washirika wako
Aje atuambie kwa nini ananunua vijana kufanya vurugu, wanyiramba tunapenda amani.......kwa amani tuliwaachia wakurya Mara yao tukapata place kuzunguka Mlima Sekenke ili tubaki na amani yetu......leo hii wapuuzi wachache wanatuvuruga, hatujavuna vizuri mwaka huu, mafuta yetu ya alizeti hayana soko tunapanga barabarani, leo hii wa kutupigania anatupiganisha....ulaaniwe Mwigulu na washirika wako
Jimboni kwako yametokea maafa yaliyosababishwa na vurugu za kisiasa, tupe kauli yako tafadhali, njoo hapa jamvini tujadili!!!
Poleni wanairamba magharibi kwa msiba uliwafika. RIP marehem.
..Hapo kwenye "red"- Wakurya sikuzote hawapendi watu wanafiki kama Mwigulu Nchemba, wao kwao 1+1=2 au 1x1=1 hawapindishi maneno, ndio maana Wanyiramba mlikubali yaishe, ila kwa siasa za mwigulu nadhani hata CCM wenyewe wanajuta kuwa naye, ni mchonganishi, ni mtu anayeogopa kuona upepo unavuma, hapendi kufikiri vitu vigumu, yupo kwa siasa rahisi kama hizi alizoanzisha
Tena alaniwe pamoja naye yule amuungaye mkono!!!! Wanajamvi mimi situkani, bali nawaambia hivi, ukimuangalia vizuri mwigulu anapokuwa bungeni akisubiri kutoa taarifa au mwongozo mjisura wake walah afanana na baboon!!! Wanaobisha wasubiri jumatatu muangalieni kwa makini strakcha ya mashavu (ukuunda) na kamdomo plas zile nyusi,
labda ufanano wa nyani unaaffect brain ake mazee!!!
​pesa haiwezi kununua haki waulizeni akina gadaffi
Mwigulu alikamatwa Igunga akiwa na mke wa kada mwenzake Hebu liambie jamvi dr slaa alifumaniwa wapi? Hilo lililomkuta ni lakawaida kabisa kwani Rais wa zamani wa France Nicolus Sarkoyz alioa Mara ngapi? Mbona wafaransa walikuwa hawahoji ? Nikwasababu hayo ni masuala binafsi jikite kwenye hoja mkuuwee kamsaidie mama ako kupika ondoka apo,wakati sisi baba zako tunamsaidia baba ako slaa kutatua tatizo la ndoa yake na uzinifu anaoufanya
Kesi ya slaa kutelekeza mke na familia imefikia wapi?yule mzee anazeeka vibaya.
mwigulu anawapeleka puta mpaka mkome wehu nyie,mnajifanya wajuaji sana nyie,moshi imewashinda,arusha imewashinda mtaiweza singida?watu wa singida sio wajinga na mtazidi kuaibika mangi wakubwa nyie