Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Anawashwa.
eti mwigulu anasema,baba wa taifa alisema bila ya ccm nchi itayumba!
Kama kuna siku nimependa kauli za Mwigulu ni leo. Amekubali kuwa pale bungeni most of the tme anakitetea chama kwa kuwa mwenyekiti wao hayupo pale wakati vyama vya upinzani wana wenyeviti watatu mle ndani.
Sasa sisi tulikuwa tunamtahimn kama mtetezi wa wananchi ndo maana tulikuwa tunamlaumu kila siku.
Ukiwa CCM akili yako inakuwa zaidi ya ile ya kibudu maana unatetea hata usiyoyajua na kuyaamini kwa nafsi na mwili. Kwa tafakari hii, Mwigulu yuko sahihi kwa yote anayoyafanya buneni.
Naomba tumpigie makofi matatu,ndiyoooooo