shetani mweusi
Senior Member
- Jun 30, 2014
- 132
- 116
Kama ada kama kawaida, ndugu yetu kiongozi wetu, rafiki yetu, Kijana mzalendo wa kweli,mtoto wa mfugaji Mh.Mwigulu Nchemba Kesho asubuhi atazungumzia maswala Nyeti ya kitaifa katika kipindi cha kumepambazuka ITV na atagusia masuala nyeti ambayo yanatoa picha na faraja sana juu ya watanzania wanyonge kwani sasa tunaanza kuamini kabisa kuwa mtoto wa mfugaji anaenda kututoa hapa tulipo kwenda sehemu nzuri zaidi kiuchumi unaomgusa moja kwa moja mwananchi wa hali ya chini
Atazungumziaa masuala katika vipengele vifuatavyo
1.Oparesheni Kamata wakwepa kodi
2.Mafanikio yake na Hatua zilizochukuliwa kwa waliokamatwa
3.Atazungumzia Hatua za Awali za Kubana Matumuzi serikalini namna Utekelezaji wake ulivyoanza
USIKOSE I.T.V SAA 12 NA 30 ASUBUHI KESHO TAREHE 21/08/2014
.Kijana mzarendo na mjamaa...asiefungamana na sera za kinyonyaji za kibepari
.Mwanamapinduzi ya fikra vijana na mabadiliko mwenye sauti ya mamlaka
.Harakati zake zinaendelea kama che guavara yupo Tanzania kiboko ya Upinzani..
Atazungumziaa masuala katika vipengele vifuatavyo
1.Oparesheni Kamata wakwepa kodi
2.Mafanikio yake na Hatua zilizochukuliwa kwa waliokamatwa
3.Atazungumzia Hatua za Awali za Kubana Matumuzi serikalini namna Utekelezaji wake ulivyoanza
USIKOSE I.T.V SAA 12 NA 30 ASUBUHI KESHO TAREHE 21/08/2014
.Kijana mzarendo na mjamaa...asiefungamana na sera za kinyonyaji za kibepari
.Mwanamapinduzi ya fikra vijana na mabadiliko mwenye sauti ya mamlaka
.Harakati zake zinaendelea kama che guavara yupo Tanzania kiboko ya Upinzani..