t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,371
- 14,766
Honestly leo umeshangaza watu , mie mamba moja!Hahahaaaa... . !
Hakuna kitu kinamuweka huru mtu kama kuongea ukweli
I ain't fan of your opinions, but today you tried the best of it.
Honestly leo umeshangaza watu , mie mamba moja!Hahahaaaa... . !
Duh mnataka muonge wakurugenzi muwafukuze machinga mjini. Aisee mtajua hamjuiii kwa kitakachotokeaMmachinga wameadhiri sana biashara zinazolipa Kodi, kitambulisho cha 20,000 kimegeuzwa Chaka.
Imagine njia za kuingilia madukani kwa gari hazipitiki kwa namna biashara zilivyiwekwa barabarani
JK alikusanya Bil.800 sio mil. Na hapo halmashuri zote zilikuwa zinajikusanyia zenyewe mapato yao yanabaki halmashauri husika.JK m800/700 kwa mwezi na mfanyabiashara unapewa mpaka chai ukienda TRA. Halmashauri nazo zilikusanya pesa zake hazikwenda TRA. Zingechanganywa huenda ingekuwa 1.5T
Hii ilijulikana kutoka mwanzo mwendazake , aliwatumia machinga kama ngao,Duh mnataka muonge wakurugenzi muwafukuze machinga mjini. Aisee mtajua hamjuiii kwa kitakachotokea
Ni dhahiri mama amekuja na muelekeo wa kujenga nchi kwa kuwategemea WAHISANI.Katika wizara zote wizara yenye kazi ngumu ni wizara ya fedha na Mipango
Mwigulu kazi anayo sio siri
wameshazoea ile method ya kutumia force. na hapa JPM alifanikiwa kuwa brainwash watu.Hivi mbona mnataka kutuuaminisha kwamba bila kutumia mabavu kodi haikusanywi??
Hivi wakati mnasoma huko vyuoni hamkujifunza njia bora za kukusanya kodi au ndo hivyo mnataka kuhalalisha upigaji wenu.
Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
mama hajasema tutawategemea wahisani. ni kodi zikusanywe kwa sheria. not by extreme force mpaka kuua biashara na kukimbiza wawekezaji.Ni dhahiri mama amekuja na muelekeo wa kujenga nchi kwa kuwategemea WAHISANI.
Aingii akilini eti hata tukiyumba kwa miezi mitatu halafu tutapanda tena as if kila kitu kitabaki constant.
kivipi mkuu, acha kuota ndoto. Fedha za mishahara, fedha za mikopo ya wanafunzi, fedha za kulipa mishahara, zitapatikana kwa njia gani? Ukinijibu hili swali basi nakuunga mkonoKodi itakusanywa kihalali na kwa mujibu wa sheria.
Makusanyo yakipungua ndio uhalisia wenyewe!
Kwani kwa sasa zinapatikana kwa njia gani?kivipi mkuu, acha kuota ndoto. Fedha za mishahara, fedha za mikopo ya wanafunzi, fedha za kulipa mishahara, zitapatikana kwa njia gani? Ukinijibu hili swali basi nakuunga mkono
Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Kwa Nini nyie mnawatetemekea Sana wachumi? Wachumi ni watu wa kawaida sana. Tena siku hizi wachumi wengi ni vilaza. Unakuta mtu hajui hata differentiation na yeye anajiita mchumi. Wengi wao wamesoma hge halafu wanajiita wachumi hata hesabu hawajui.Mku sidhani kama itakuwa hivyo kwani Mzee Mwinyi aliweza kipindi hicho ambacho wafanyabiashara walikuwa wachache sana itakuwa leo ambapo nchi kibao zinategemea Tanzania kibiashara .
Mimi sio mchumi ila sijui kama itashindikana
Ni rahisi tu...chukueni hatua za kuwaondoa wamachinga barabaraniMmachinga wameadhiri sana biashara zinazolipa Kodi, kitambulisho cha 20,000 kimegeuzwa Chaka.
Imagine njia za kuingilia madukani kwa gari hazipitiki kwa namna biashara zilivyiwekwa barabarani
Kuna uhakika wa kinachokusanywa saivi hakiko halali? Kodi inakusanywa kwa mujibu wa sheria,basi nchi hii ina wazimu!Kodi itakusanywa kihalali na kwa mujibu wa sheria.
Makusanyo yakipungua ndio uhalisia wenyewe!
Well said. Unajua kuna watu bado wako katika usingizi wa pono, hawataki kubadilika lakini wakati utawabadilisha tu. Umesema vizuri na kweli kabisa, kama makusanyo yatapungua, lakini ni makusanyo halali kwa mujibu wa sheria, na hakuna vitisho mpaka vya watu kufunga biashara zao, basi hayo ndio yatakuwa makusanyo halali yasiyo ya dhuluma. Hoja ya Rais Samia iko clear kabisa katika hili. kwamba TRA wafanye kazi zao kiweledi, kwa maana ya kukusanya kodi katika utaratibu ambao utawafanya hata kesho waikusanye kodi wanayoikusanya leo. Wafanye kazi zao kibiashara na sio kibabe, watengeneze mahusiano na wafanyabiashara, waongeze vyanzo vya kodi, nakadhalika. Kama mazingira yatafanywa kuwa rafiki, kwanini wafanya biashara wasilipe kodi? Kwanza, kama TRA wakisimamia kwa haki ile sheria inayotaka mfanyabiashara ili apate leseni msimu unaofuata lazima awe na Tax clearance, wafanyabishara watakwepaje kodi? Tatizo ni uadilifu wa maofisa wa TRA, ni mambo ambayo yanapaswa kufanyiwa kazi!Kodi itakusanywa kihalali na kwa mujibu wa sheria.
Makusanyo yakipungua ndio uhalisia wenyewe!