Katika mabadiliko kwenye baraza la mawaziri, hapo Mwigulu kuchemsha, sio mtu wa kazi bali vijembe ndio taaluma yake anayoimuduTanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Wewe ni mtu wa ajabu asiyependa haki, au ulikuwa ukifurahia uharamia wa magu nini?Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Namshauri mh Rais wetu afukuze majitu yote ya magufuli serikalini, amwage mboga,maana ndio hawa wanaleta kero mitandaoniTanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
acha mawazo finyu wewe ,angalia mbali mama anataka kuongeza wigo wa walipa kodi wawe wengi badala ya kuwa na wachache halafu unaawabana na kkuwakkwapua fedha zao benki, kipindi cha mpito kodi itashuka ila mbeleni itaongezeeeka, kuwa na uupeo hilo ni swala la kichumii siyo siasa kudanganya wananchi tunajenga ukuta wakati bado tunaibiwaTanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Kazi ya kwanza kwa ugumu ni Uraisi ya pili kwa ugumu ni uwaziri wa fedha na mipango Hixo kazi usiombe upate .Mwenyezi Mungu nfie akwambie kaa pale lakini ukienda kichwa kichwa waweza taka kuiacha njianiAla kumbe kazi yenyewe ya uraisi ni ngumu
Mwigulu ni economist by trade in my opinion ni mapema mno kumuhukumu; tatizo lake ni kujipendeza mpaka akili zinamruka saa zingine he is not independent in thinking.Kazi ya kwanza kwa ugumu ni Uraisi ya pili kwa ugumu ni uwaziri wa fedha na mipango Hixo kazi usiombe upate .Mwenyezi Mungu nfie akwambie kaa pale lakini ukienda kichwa kichwa eaweza taka kuiacha njiani
Sidhani Kama Mwigulu ana kifua cha kuhimili atabwaga au kubwagwa njiani
Kazi hiyo inawafaa waha na wapare na wachaga vyuma vya pua
Msukuma umeajiriwa kuona udhaifu wa Raisi aliyepo tofauti na mwenda zake ambaye hakuwa na dosari? Unatesaka ukiwa wapi sasa?Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Mama Samia Chaaaapa kaaazi!!!....pumbava weweTanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.
Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.
Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.
Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.